Saturday 30 June 2012

[wanabidii] Fwd: CHRISTIAN HEGEMONY AND THE RISE OD MUSLIM MILITANCY

Kwa anaetaka kujua mengi na zaidi kuhusu Waislam wa Tanzania na
uhusiano wao na Serikali na Kanisa asome mswada huo.


Mohamed Said

---------- Forwarded message ----------
From: mohamed said <mohamedsaid54@gmail.com>
Date: Sun, 10 Jun 2012 07:19:01 +0300
Subject: CHRISTIAN HEGEMONY AND THE RISE OD MUSLIM MILITANCY
To: mohamedsaid54@gmail.com

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] Fwd: CHRISTIAN HEGEMONY AND THE RISE OD MUSLIM MILITANCY"

[wanabidii] Muungano wa Tanzania

je muungano wa Tanzania na Zanzibar ni halali , kama jibu ni ndio , mkataba wake uko wapi na kama ni sio kwanini usivunjike

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] Muungano wa Tanzania"

[wanabidii] Taasisi ya masheikh na wanazuoni wa Kiislamu yawataka Waislamu Kushiriki Sensa

Taasisi ya masheikh na wanazuoni wa Kiislamu Tanzania imeunga mkono
kauli iliyotolewa hivi karibuni na Sheikh mkuu wa Tanzania, Mufti Issa
Shaaban Simba ya kuwataka waislamu na watanzania kote nchini
kushiriki kikamilifu katika Sensa ya watu na Makazi itakayofanyika
Agosti 26 mwaka huu.

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kwa niaba
ya mwenyekiti wa jopo la masheikh na wanazuoni wa Kiislamu Tanzania
Sheikh Hamis Mattaka amesema hatua hiyo inafuatia kuwepo kwa baadhi ya
makundi yanayowahamasisha waumini wa dini ya kiislamu na wananchi
kutoshirika zoezi la Sensa ya watu na makazi.

Amesema wao kama jopo la wanazuoni hawaoni tatizo la zoezi hilo
kutokana na umuhimu wake kwa taifa na kuongeza kuwa Sensa ya watu na
makazi ipo kwa mujibu wa sheria za nchi na imepitishwa na Bunge la
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Jopo hilo limeiomba serikali kuweka sheria itakayozuia utoaji wa
takwimu zinazohusu dini za watanzania zinazotolewa na vyanzo
mbalimbali ndani na nje ya nchi kwa kuwa kipengele hicho si sehemu ya
sensa nchini.

"Tunajua kuwa serikali ilikua na nia njema kukiondoa kipengele cha
dini katika Sensa hapana budi nia njema hiyo ya serikali ilindwe kwa
kuweka sheria itakayozuia kutoa takwimu zinazohusu dini za watanzania"
amesema Sheikh Mattaka.

Amefafanua kuwa Sensa ya awali ya mwaka 1957 kipengele cha dini
kilihusishwa na baadaye kuondolewa katika Sensa zilizofuata kwenye
madodoso ya kukusanyia takwimu za kaya.

"Sisi kama jopo kila siku tunasema ili twende salama kama wananchi wa
nchi hii ni wajibu wetu kuheshimu na kufuata sheria kwa maana ya
kutii sheria bila shuruti, kwa hiyo tunasema Sensa ya watu na makazi
ni jambo la kisheria si jambo la mitaani, hatuwezi kulumbana na
kujadili jambo ambalo liko wazi kisheria na limepitishwa na wabunge
tuliowachagua sisi wenyewe"

Amefafanua kuwa zoezi la Sensa ya watu na makazi litaiwezesha serikali
kupanga mipango ya maendeleo kwa kuwa na takwimu sahihi za watu na
makazi, hali ya kipato cha kaya, vizazi na vifo na pia kuiwezesha
serikali kwapatia huduma bora wananchi wake.

Katika hatua nyingine jopo la masheikh na wanazuoni wa Kiislamu
Tanzania imewataka wananchi kushiriki kikamilifu katika mchakato wa
ukusanyaji wa maoni ya katiba.

Aidha jopo hilo limewataka watanzania wote kwa ujumla kuitumia fursa
hiyo muhimu kutoa maoni ambayo yataiwezesha nchi kupata katiba
itakayokidhi matakwa ya wananchi.

" Sisi kama jopo la wanazuoni wa kiislamu tunawataka waislamu na
watanzania wote kwa ujumla kuitumia fursa hii muhimu kwa kutoa maoni
yao ili hatimaye nchi yetu ipate katiba itakayokidhi matakwa ya
wananchi kwa miaka mingi ijayo" amesema Sheikh Mattaka.

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] Taasisi ya masheikh na wanazuoni wa Kiislamu yawataka Waislamu Kushiriki Sensa"

[wanabidii] Robinson Mchau updates

mambo yanazidi kupamba moto, mwisho wa Robinson Mchau umefika - kuna mdada mmoja walienda na Robinson Mchau kujitambulisha kwa wazazi wa mdada uko Moshi vijijini, ikaandaliwa sherehe kubwa ya utambulisho, jamaa kala ubwabwa na soda, akaahidi ndoa itakuwa ivi karibuni. ndugu wa mdada wakamhoji Robinson Mchau "je una mke au mdada mwingine umemtakia kumuoa? ili isije ikawa binti yetu akapata madhara au laana kwa kuchukua mwanamme wa mtu mwingine" Robinson Mchau akajibu "hapana". Baada ya siku kadhaa watu wakamtonya mdada kwamba jamaa ana mke na akapelekwa mpaka KCMC kazini kwa mke wa Robinson Mchau kuonyeshwa mke mwenyewe, mdada kachanganyikiwa maana ndugu zake wote wanajua anaolewa na mchau. dada kumuuliza, mchau anadai kwamba hana mke na anang'ang'ania kuoa, pia kamlia pesa zake. huyu ni mmojawapo tu ya wadada ambao Robinson Mchau amewadanganya na amewatapeli. Robinson Mchauna kala na ametapeli pesa za wadada wengi sana. yaani atakuwa na laana mchau.
wadau iyo ndo hali halisi. sasa wanaomtetea shauri yao ila wajue wanazidi kuendekeza uovu wa Robinson Mchau. Ila lengo la ujumbe huu ni tahadhari kwa watu wasijikute kwenye mikono dhalimu ya Robinson Mchau

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] Robinson Mchau updates"

[wanabidii] Dr Steven Ulimboka anapelekwa Nje kwa Matibabu zaidi

Kiongozi wa Chama cha Madaktari Tanzania Dr Steven Ulimboka anapelekwa
Nje kwa Matibabu zaidi haijajulikana anaelekea nchi gani .

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] Dr Steven Ulimboka anapelekwa Nje kwa Matibabu zaidi"

[wanabidii] LETTER TO PRESIDENT JAKAYA KIKWETE ON RE-FLAGGING IRAN TANKERS

Dear President Kikwete,

I am writing to express my deep dismay that Tanzania has permitted the
National Iranian Tanker Company (NITC), to reflag at least 6 and as
many as 10 of its vessels under the Tanzanian ship registry, allowing
them to remain under NITC ownership and continuing to transport Iran's
crude oil exports. This action by your government has the effect of
assisting the Iranian regime in evading U.S. and EU sanctions and
generating additional revenues for its nuclear enrichment and weapons
research programs and its support for international terrorism.

It is profoundly disappointing to me to learn that your government has
acted in contravention of the broad international coalition that is
working together to use peaceful means, including economic sanctions,
to change the threatening behavior of the Iranian regime. The decision
to accept the re-flagging of NITC vessels casts a shadow over
Tanzania's international reputation.

I respectfully request that Tanzania cancel the re-flagging of the
NITC vessels. Given the close and cooperative relationship that our
two governments now enjoy, it would be unfortunate if this action were
permitted to stand.

It would be preferable that Tanzania take this action of its own
accord. However, your government should take note of President Obama's
Executive Order 13608, signed May 1, 2012, which provides for the
imposition of sanctions on any entity worldwide, including foreign
governments, that assists Iran in evading U.S. sanctions. In my view,
reflagging Iranian oil tankers falls within the scope of sanctionable
activity under that Executive Order. In addition, if Tanzania were to
allow Iranian vessels to remain under Tanzanian registry, we in the
Congress would have no choice but to consider whether to continue the
range of bi-lateral U.S. programs with Tanzania.

Sincerely,

Howard Berman
Ranking Democrat, House Foreign Affairs Committee

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] LETTER TO PRESIDENT JAKAYA KIKWETE ON RE-FLAGGING IRAN TANKERS"

[wanabidii] Group files ethics complaint against Board of Regents member Raster over Tanzania project

http://www.therepublic.com/view/story/0aaff6bf8b3a4b8ab39c5a4c2a6a4a0a/IA–Regent-Ethics-Complaint

DAVID PITT  Associated Press June 19, 2012 – 2:02 pm EDT

DES MOINES, Iowa — A watchdog group filed an ethics complaint Tuesday against Iowa Board of Regents member Bruce Rastetter, accusing him of abusing his position on the board overseeing public universities while pursuing a partnership between Iowa State University and his agribusiness corporation, AgriSol Energy.

Rastetter participated in discussions the university had about working with AgriSol to develop a huge commercial farming operation in Tanzania, a project critics have called a land grab.

"This looks pretty bad," said Ross Grooters, a Citizens for Community Improvement member from Pleasant Hill, in a statement. "Rastetter needs to go."

About 30 members of the Des Moines-based group delivered the complaint to the Iowa Ethics and Campaign Disclosure Board on Tuesday.

Rastetter's spokesman, Joe Murphy, said in a statement that an ethics review is welcome and he will cooperate fully.

"We are hopeful that this review will address any questions surrounding Bruce's commitment to public service here in Iowa and abroad," he said. "As we have stated before, there is no conflict of interest. Bruce has long been an advocate for education and agriculture and has a strong tradition of providing support and gifts to the Regent institutions."

Gov. Terry Branstad appointed Rastetter, an agribusiness executive who donated $160,000 to the governor's 2010 campaign, to the board in February 2011. Rastetter had been working on behalf of AgriSol with ISU since 2009 on a plan to develop 800,000 acres of Tanzanian farmland for crop production.

Branstad spokesman Tim Albrecht responded to a request for comment on the allegations by email.

"We are fully confident in the judgment of Regent Rastetter on his decision regarding when to recuse himself," he wrote.

Critics opposed the Tanzania project because the land had for decades housed 160,000 refugees from Burundi who were being relocated by the Tanzanian government. Investors, who stood to earn millions if the project was successful, argued it would help residents by improving food production and farming techniques. They added they had no role in the relocation.

Officials with ISU's College of Agriculture and Life Sciences, which received a $1.75 million gift from Rastetter in 2007, were to implement an AgriSol-funded program providing a range of services and training to help farmers in the area.

Rastetter waited until June 17, 2011 — six weeks after his term started and four months after his appointment — to disclose the conflict, doing so only after the project received publicity. He waited until Sept. 13 before recusing himself from discussions related to ISU's involvement. That was the same day the university abandoned plans to seek a multimillion-dollar federal grant with AgriSol.

CCI, in its complaint, claims Rastetter falsified financial disclosure statements to the state's ethics board by omitting information about his wealth and job responsibilities with AgriSol and other companies he manages.

The group says he violated the state's executive branch ethics law and a separate section of the state code that makes it illegal to falsify disclosure statements.

It also says he violated the regents' conflict of interest policy, which says "Regents and institutional officials must endeavor to remain free from the influence of, or appearance of, any conflicting interest in acting on behalf of the Board or a Regent institution. Such interest may include, but are not limited to, employment, ownership of, or service on, the board of directors of an organization that has or may have relationships with the Board or a Regent institution."

CCI said it wants Rastetter to resign from the board or, if he refuses, Branstad to remove him.

Ethics board Executive Director Megan Tooker said a decision will be made first about whether the complaint contains sufficient legal grounds to launch an investigation.

If so, the board orders an investigation.More serious violations may lead to a contested hearing, which is similar to a trial with witnesses, testimony and evidence. If the board eventually determines a violation occurred, it can issue fines.

It cannot remove an executive branch appointee from office. It can only recommend the appointing authority — in this case the governor — remove the violator.

Other media outlets around the state covered our action yesterday as well, including:

Des Moines Register

Radio Iowa

Ames Patch

Iowa State Daily

Ames Tribune

AgriSol Timeline

Bruce Rastetter is no stranger to Iowa CCI members. We started fighting his Heartland Pork factory farms in the late 90's. Since then he has continued to make his big money mark across Iowa, starting and selling ethanol plants under his Hawkeye Renewables, and most recently with his AgriSol effort. His political power has grown too, through hundreds of thousands of dollars in contributions to candidates, and millions spent in shadowy political attack groups like the American Future Fund and Team Iowa PAC.

Yesterday we filed a conflict of interest complaint against Rastetter. (Read some of the press coverage of the event here) Now we have compiled a timeline of Rastetter's involvement in the AgriSol affair and his attempts to use ISU to further the project.

 

2007: Rastetter donates $1.7 million to ISU

2008: Rastetter begins talks with Tanzanian government

2009: Collaboration between ISU and AgriSol begins

2010: Rastetter is the single biggest donor to the Branstad campaign, giving more than $164,000.

2011:

February 25: Branstad appoints Rastetter to Board of Regents

May 1: Rastetter's term begins: he should have recused himself from discussions of an ISU partnership with AgriSol at this point.

May 18: Rastetter finances a $13,000 trip for ISU officials to Tanzania

 

June 14: Des Moines Register publishes AgriSol expose

June 17: Rastetter discloses his financial interest in AgriSol to the public

July: Rastetter elected President Pro Tem of Board of Regents

September 13: Rastetter finally recuses himself from discussions of partnering with ISU – four months after he becomes a Regent.

September 26: Dan Rather reports on AgriSol

2012:

February: ISU cuts all ties to Tanzania project

April 24: Rastetter files a false financial disclosure report with the Iowa Ethics and Campaign Disclosure Board

June 19: Iowa CCI members file a conflict of interest complaint against Rastetter with the Iowa Ethics and Campaign Disclosure Board.

Source : http://iowacci.org/in-the-news/rastetter-ethics-complaint-filed/ and http://iowacci.org/uncategorized/agrisol-timeline/

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] Group files ethics complaint against Board of Regents member Raster over Tanzania project"

[wanabidii] Tanzania Now to Face Sanctions over IRAN

WASHINGTON | Fri Jun 29, 2012 1:39pm EDT (Reuters) - Tanzania must stop the practice of "re-flagging" Iranian oil tankers or it will face the threat of U.S. sanctions and damage its ties with Washington, a U.S. lawmaker warned on Friday.

Howard Berman, the ranking member of the House Committee on Foreign Affairs, accused Tanzania of reflagging at least six and possibly as many at 10 tankers owned by the National Iranian Tanker Company.

"This action by your government has the effect of assisting the Iranian regime in evading U.S. and EU sanctions and generating additional revenues for its nuclear enrichment and weapons research program and its support for international terrorism,"

Berman said in a letter to President Jakaya Kikwete that was obtained by Reuters. Berman said if the tankers were allowed to continue sailing under the Tanzanian flag, Tanzania could face the sanctions that President Barack Obama signed into law.

He said Congress would also have "no choice" but to consider whether to continue the range of bilateral U.S. programs with Tanzania.Officials at Tanzania's embassy were not immediately available to comment on Berman's letter.

The sanctions, along with similar action by the European Union, are aimed at pressuring Iran to curb its nuclear program, which the West believes aims to develop nuclear weapons but which Tehran says is for peaceful purposes. The United States gave China a six-month reprieve from Iran financial sanctions on Thursday. The Obama administration has now spared all 20 of Iran's major oil buyers from its unilateral sanctions, rewarding them for cutting purchases of Iranian oil.

Below are some of the Super-Tankers that have been renamed, and flying the Tanzanian Flag:

Davar (previous name): Companion – Tanzania

Haraz: Freedom – Tanzania

Susangrid: Daisy – Tanzania

Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] Tanzania Now to Face Sanctions over IRAN"

Friday 29 June 2012

[wanabidii] Kenya's US envoy quits over rift with Washington



 
 

Kenya's US envoy quits over rift with Washington

Reuters – 3 hrs ago

NAIROBI (Reuters) - The U.S. ambassador to Kenya has resigned just over a year after taking up the post, citing differences with Washington over priorities and his style of leadership, an embassy statement said on Friday.

Scott Gration's departure came a week after the U.S. embassy warned of a threat of an imminent militant attack in the port city of Mombasa, angering the Kenyan government which said the advisory amounted to "economic sabotage".

"Differences with Washington regarding my leadership style and certain priorities lead me to believe that it's now time to leave," Gration said in his resignation statement.

A senior official in Kenya's Ministry of Foreign Affairs said the announcement was a surprise.

Political analyst Mutahi Ngunyi said Gration, who had been with the U.S. State Department for three years, had often been too hasty in "pulling out his guns".

"I think the ambassador had been a little gung-ho in his approach," Ngunyi said, giving the example of the Mombasa warning.

On Sunday, two days after the U.S. warning and a day after a grenade attack in tourism hub Mombasa, Kenya's Secretary to the Cabinet, Francis Kimemia, said the embassy had reneged on an agreement not to issue the alert.

There has been a surge in attacks on Kenyan soil blamed on Somali militants and their sympathisers since Kenya sent troops into Somalia in October last year.

Increasing insecurity has hurt the country's tourism industry and threatens to dampen economic growth this year in the region's biggest economy.

 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] Kenya's US envoy quits over rift with Washington"

[wanabidii] TAARIFA JUU YA USAJILI WA MELI ZA NJE ULIOFANYWA NA SMZ

TAARIFA KWA BARAZA LA WAWAKILISHI JUU YA
USAJILI WA MELI ZA NJE ULIOFANYWA NA SMZ
KUPITIA MAMLAKA YA USAFIRI BAHARINI
ZANZIBAR MARITIME AUTHORITY – ZMA
Friday, June 29, 2012

Mhe. Spika,
Tarehe 27/06/2012 Vyombo vya Habari hapa Tanzania (The Citizen) na
nchi za nje (International news Agency – Bloomberg) viliandika makala
kuhusu usajili wa meli 10 za mafuta (Tankers). Ilidaiwa katika makala
hayo kuwa Meli hizo zilisajiliwa Zanzibar na zinapeperusha Bendera ya
Tanzania na kwamba zinafanya biashara na Kampuni ya Serikali ya IRAN.
Gazeti la "The Citizen la tarehe 27 Juni, 2012 lilikuwa na kichwa cha
habari "Iran Tankers adopt TZ Flag to avoid embargo" (meli za mafuta
za Iran zinatumia bendera ya Tz kukwepa vikwazo.

TAARIFA YA ZMA

Mamlaka ya Usafiri Baharini Zanzibar Maritime Authority – ZMA ni
Mamlaka iliyoundwa kwa sheria No. 3 ya mwaka 2009 ambayo pamoja na
kazi nyengine inasimamia utekelezaji wa Sheria ya usafiri wa Bahari
Zanzibar ya mwaka 2006 (Zanzibar Maritime Transport Act 2006).

Sheria ya Zanzibar Maritime Transport Act 2006, kifungu no. 8 cha
sheria hii, kinasomeka kama ifuatavyo:

Section 8 (1). There shall be established the registers of Tanzania
Zanzibar ships to be Known as:-

o (a). Tanzania Zanzibar International Register of Shipping for ocean
going ships; and

o (b) Tanzania Zanzibar Register of Shipping for coastal Ships.

• (2). A ship shall be a Tanzania Zanzibar ship for the purpose of
this Act if that ship is registered under this part.

Katika kutekeleza jukumu la usajili wa meli kama ilivyoelekezwa katika
kifungu 8(1)(a) hapo juu, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imetiliana
mkataba na kampuni ya PHILTEX ya Dubai kufanya usajili wa meli za
kimataifa. (Open Registry). Usajili huu umekuwa ukifanyika tangu mwaka
2009 na mpaka sasa ZMA kupitia Wakala wake imesajili meli 399 ikiwa ni
pamoja na meli za mafuta, makontena, General cargo na meli za Abiria.

Kama nilivyoeleza hapo awali, vyombo vya habari vimechapisha makala ya
usajili wa meli 10 ambazo zinadaiwa ni meli za IRAN kulingana na
makala zao hizo.

SMZ inatoa taarifa rasmi juu ya meli za mafuta ilizosajiliwa wiki
mbili zilizopita pamoja na majina ya meli, ukubwa wake, majina ya
makampuni inayomiliki meli hizo na nchi zilizotoka kabla ya kupata
usajili kwa ZMA, kama ifuatavyo:

Jina la meli GRT (Ukubwa) Company name Ilikotoka

1. Daisy 81479 Daisy Shipping Co. Ltd Malta

2. Justice 164241 Justice Shipping Co. Ltd Cyprus

3. Magnolia 81479 Magnolia Shipping Co. Ltd Malta

4. Lantana 81479 Lantana Shipping Co. Ltd Malta

5. Leadership 164241 Leadership Shipping Co. Ltd Cyprus

6. Companion 164241 Companion Shipping Co. Ltd Malta

7. Camellia 81479 Camellia Shipping Co. Ltd Malta

8. Clove 81479 Clove shipping Co. Ltd Malta

9. Courage 163660 Courage Shipping Co. ltd Cyprus

10. Freedom 163660 Freedom shipping Co. Ltd Cyprus

11. valor 160930 valor Shipping Co. Ltd. Cyprus

Jumla ya GRT ni 1,388,368 tons

Meli hizi ni 11 kama zinavyoonekana katika orodha hapo juu ni miongoni
mwa meli nyingi zinazobadilisha usajili wao (De registration). Meli
zilizosajiliwa na ZMA zinatoka nchini Cyprus na Malta. Sambamaba na
meli hizi 11 zilizosajiliwa na ZMA, meli za mafuta nyengine 20 ambazo
zinasemekana zilikuwa kwenye usajili wa nchi za Ulaya zimebadilisha
usajili wao na kwenda usajili wa "TUVALU Islands".

ZMA ilimtaka Wakala wake Philtex Corporation kuwaita wenye meli hizi
na kuwataka kujieleza kuhusu uhusuiano wao na Serikali ya au makampuni
ya mafuta ya IRAN. Philtex ilikutana na Wamiliki hao siku ya Alkhamis
tarehe 28/06/2012 katika afisi za Philtex Corporation na Wamiliki hao
wameeleza kwamba hawana uhusianao na Serikali au mamlaka yoyote nchini
Iran na wameamua kuja kusajili meli ZMA kwa ridhaa yao na kwa kufata
matangazo ya usajili wetu wa nje (Open Registry).

Pamoja na maelezo hayo, wamiliki hao wametangaza kwamba ikiwa ZMA
haiko tayari kuendelea na usajili wa meli zao, wanaweza kufuta usajili
wao na tayari wanafikiria kufanya mazungumzo na open Registry nyengine
(PANAMA) lakini hawana nia ya kurudi walikotoka, yaani Cyprus na
Malta.

Kinyume na maelezo yaliyotolewa na vyombo vya habari juu ya uraia wa
wamiliki wa meli hizi, Wamiliki wa meli hizi kama walivyojieleza
katika usajili wa meli zao wana uraia wa British Vergin Islands na
Sychelles.

Kulingana na "United Nations Convention Law of the Sea", Article 91,
na za "Geneva convection of Registration" articles 6, 7 na 8, na
kulingana na Zanzibar Maritime Transport Act of 2006, section 8,
Zanzibar ikiwa ni nchi moja kati ya nchi mbili zinazounda Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania inayo haki ya kusajili meli yeyote kulingana na
taratibu na Sheria za Zanzibar, na sheria za Kimataifa zinazoongoza
usajili huo.

Maelezo haya yanatolewa ili kutoa usahihi wa uvumi kuwa Zanzibar
imesajili meli za IRAN ambazo zimewekewa vikwazo na Marekani na nchi
za Umoja wa Ulaya (European Union) juu ya usafirishaji na uuzaji wa
mafuta kutoka Iran.

Mhe. Spika, taarifa hizi za vyombo vya habari hazina madhumuni yeyote
zaidi ya kuwavunja moyo wenye Makampuni ya meli wanaotaka kusajili
meli zao kwetu.

Hivyo basi Serikali inatamka wazi kwamba Usajili uliofanywa kwa meli
hizi umefuata taratibu zote zilizowekwa kisheria na kwamba Serikali
imekuwa ikifanya na itaendelea kufanya mazungumzo na wenye meli
mbalimbali ili kuongeza idadi na ukubwa wa meli inazosajili nje ya
nchi. Biashara hii ya ukubwa wa GRT 1,388,368 Tons katika kipindi cha
wiki mbili na maombi mapya matano kwa meli zitakazokuwa na ukubwa wa
zaidi ya GRT 500,000 imeshtua Makamuni mengine na hata nchi nyengine
zisizoitakia mema Zanzibar katika juhudi zake za kukuza mapato na
uchumi wake.

Hata hivyo mamlaka itafata sheria zote zilizowekwa kitaifa na
kimataifa katika biashara ya usafiri baharini na itahakikisha meli
zinasajiliwa chini ya mamlaka hii zinafata taratibu ilizoweka.

Mhe. Spika, kabla ya taarifa hizi za vyombo vya habari (The Citizen),
Waziri wa Uchukuzi wa SMT Mhe. Harisson Mwakyembe) alipokuwa akijibu
suala Bungeni hivi juzi hakuonyesha kurishika kwake katika usajili wa
meli (Open Registry) inayofanywa na Zanzibar na kuahidi kufanya ziara
ya kuja Zanzibar kuonana na Waziri anaehusika kuzungumzia suala hili.
Taarifa za "The Citizen" zaweza kuwa ni muendelezo wa Mhe. Mwakyembe
kutoridhika kwake katika usajili unaofanywa na Serikali kupitia
uwakala wake huko Dubai.

Mhe. Spika, Zanzibar haifungiki kusajili meli za nchi yeyote.

Hili ni suala la kibiashara na kwamba kwa Serikali yetu ni njia moja
ya kuongeza mapato yanayoendesha Serikali, alimradi tu usajili huo
hauvunji sheria za Kimataifa.

Mhe. Spika,

Zanzibar ina uhusiano mkubwa na wa muda mrefu na nchi nyingi ikiwemo
IRAN na hivi karibuni Zanzibar ilipata ugeni (Makamo wa Rais wa Iran)
na viongozi wetu walifanya mazungumzo ya namna gani IRAN itaendelea
kusaidia Zanzibar katika miradi ya Maendeleo. Zanzibar haingependa
kuingizwa kwa visingizio vyovyote na kwa njama zozote katika migogoro
isiyowahusu.

Hivyo, kwa taarifa hii, Serikali inakanusha rasmi uvumi wa vyombo vya
habari kuhusiana na suala hili kama taarifa hii ilivyofafanua hapo
juu.

Mhe. Spika, naomba kuwasilisha.

Hamad Masoud Hamad

WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA MAWASILIANO

Chanzo: Zanzinews

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] TAARIFA JUU YA USAJILI WA MELI ZA NJE ULIOFANYWA NA SMZ"

[wanabidii] High Court Nulifies the 47 Kibaki appointments!



 
 
Politics

Court nullifies Kibaki's list of County bosses

  Share Bookmark Print  Email
Email this article to a friend

Submit Cancel
Rating
Lady Justice Mumbi Ngugi nullified the appointments of 47 County Commissioners saying they were unconstitutional June 29, 2012. PAUL WAWERU
Lady Justice Mumbi Ngugi nullified the appointments of 47 County Commissioners saying they were unconstitutional June 29, 2012. PAUL WAWERU 
By PAUL JUMAPosted  Friday, June 29  2012 at  15:55
The High Court has overturned the appointment of 47 County Commissioners.
Lady Justice Mumbi Ngugi ruled Friday that President Kibaki flouted provisions of the Constitution by creating non existent positions of County Commissioners and appointing people to fill them in disregard of the Constitution.
In her judgement, the judge ruled that the President violated the provision on gender balance and those that required him to consult with Prime Minister Raila Odinga in line with the National Accord and Reconciliation Act.
Lady Justice Ngugi held that the President did not have any powers to appoint the Commissioners but even if he did, he ought to have consulted the PM.
The judgement was delivered on a petition that was filed by lobby groups challenging the appointments.
The Centre for Rights Education and Awareness (CREAW), on the one hand, and Patrick Njuguna and Charles Omanga on the other hand had filed the petitions, which were later consolidated.
Non existent positions
Their lawyer, Anthony Oluoch, speaking shortly after the verdict praised the decision terming it as "a landmark".
"At long last, the people of Kenya have been vindicated in their clamour for respect of the Constitution," he told reporters.
"You cannot make appointments to positions that are non existent. The appointments would have put but the County Commissioners in conflict with the governors."
The Executive Director of CREAW Wangechi Wachira also lauded the verdict.
"We are very excited. On any other position that is going to be created, gender balance is going to be adhered to," she said.
The petitioners had faulted the appointments citing the requirement of the Constitution including gender balance, consultation with the PM and the National Values and principals of governance.
__._,_.___
Recent Activity:
Africa-oped welcomes opinions & analysis on African issues. A short essay of 400-1500 words is preferable:  Africa-oped is world readable at http://www.egroups.com/group/africa-oped.Coming soon: www.africa-oped.org that will carry the "best of Africa-Oped"Share and obtain business information: http://www.aganoconsulting.com./Contribute Africa-related business articles and get paid; send your articles to: info@aganoconsulting.com.Visit www.matunda.org too.-
.
__,_._,___
Read More :- "[wanabidii] High Court Nulifies the 47 Kibaki appointments!"

[wanabidii] Jeshi la polisi na Jumuiya ya Muamsho Zanzibar

Jeshi la pllisi Tanzania limezingira viwanja vya lumumba Zanzibar, kwa kuzuwia muhadhara wa Jumuiya ya muamsho uliopangwa kufanyika leo, lakini hata hivyo jumuiya hiyo imehamishia muahadhara wake katika viwanja vya malindi zanzibar.

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] Jeshi la polisi na Jumuiya ya Muamsho Zanzibar"

[wanabidii] TAARIFA ZA ASKARI WA FFU KUUWAWA TEGETA

Ndugu zangu

Naomba mwenye taarifa za tukio la kuuwawa kwa askari wa FFU na
wananchi maeneo ya tegeta atujulishe - Kama si kweli naombeni radhi
kwa hili .

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] TAARIFA ZA ASKARI WA FFU KUUWAWA TEGETA"

[wanabidii] Unamwamini Vipi Mpenzi wako na PASSWORD ?

Katika siku za karibuni tumekuwa na kesi nyingi za wapenzi kuibiana
fedha , nyaraka na siri nyingine kwa njia ya mtandao haswa simu ,
barua pepe na mifumo mengine mbalimbali ya mawasiliano .

Kitu kilichogunduliwa baada ya uchunguzi mwingi ni kwamba wapenzi
wengi wanaaminiana sana haswa wanawake kuamini sana wapenzi wao wa
kiume kiasi kwamba atampa password za email yake , kadi yake ya benki
na hata siri za kazini kwake kisa anaogopa kuachwa .

Tukumbuke kwamba password au neno la siri ni mali ya mtu binafsi na ni
yako wewe mwenyewe , ukienda benki ukapewa password au neno la siri
kwa ajili ya kadi yako ya benki ni wewe umeingia mkataba na benki sio
mpenzi wako , mdogo wako au mumeo au jirani yako .
Sikatazi watu kupeana namba za siri manake kupeana muda mwingine
unajenga kuaminiana zaidi , kupendana zaidi na hata kuweza kusaidiana
katika mikasa ya hapa na pale endapo mtu ana hizo namba za siri huu
ndio uzuri wa kupeana namba za siri .

Ubaya wake ni mwingi na unaweza kuwa mchungu zaidi katika maisha yako
yote , kwa mfano mtu akakuta picha zako au nyaraka nyingine za siri
kwenye email zako akaamua kuzihifadhi sehemu nyingine kwa kuzichukuwa
baadaye ukaona picha hizo kwenye magazeti , blogu na sehemu nyingine
za kijamii , kwa nyaraka au namba za siri za benki mtu anaweza
kuchukuwa na yeye mwenyewe akaenda kukuibia hela au anaweza kumtumia
mtu mwingine ndani ya benki au nje kwa ajili ya kuhamisha fedha haswa
kiasi kikubwa cha fedha na usimwone tena pengine haswa kama mmeokotana
njiani .

Kama wewe ni muajiriwa na ukampa mpenzi wako password ya anuani pepe
yako akafanikiwa kuangalia mawasiliano yako na wafanyakazi ,
wasimamizi wako au hata siri nyingine za unapofanyia kazi hizi
zinaweza kuibiwa na kutumika dhidi yako au dhidi ya kampuni yako au
serikali yako muda wowote .

Hizo zote ni tisa kumi ni pale mpenzi wako anapoingia ndani ya barua
pepe yako na kuweka taarifa nyingine bila ya wewe kujua ili aweze
kuzitumia pindi mtakapoachana au kukorofichana , kwenye barua pepe
yako kuna sehemu inaitwa PASSWORD RECOVERY hata kwenye simu kuna
baadhi zenye huduma za Recovery .

Ukiwa kwenye barua pepe kuna kitu kinaitwa recovery Options hii
inayoweza kutumika ni kwa kuweka anuani nyingine ya barua pepe kwa
ajili ya kurejesha pwd kama imepotea au imesahaulika , saa nyingine
unaweza kutumia namba za simu kwa ajili ya kuweza kurudisha password
yako .

Unapomwachia mpenzi wako password yako anaweza kuingia kwenye barua
pepe yako na kubadilisha hizo taarifa pale kwenye recovery email
ataweka yake unayoijua au usiyoijua , kwenye namba za simu anaweza pia
kuweka zake . ikiwa ndio hivi ataweza kubadilisha password muda wowote
akitaka na wewe usiweze tena kuingia katika anuani hizo .

Nakumbusha tena kwa kuuliza unamwamini mpenzi wako na password ? kama
unamwamini hongera zako lakini ujue password ni mali binafsi na anuani
pepe ni mali binafsi pia labda kama kuna makubaliano mengine ya
ziada .

NB : Hii haihusiani na pale unapotegeshewa programu ya kunukuu na
kuhifadhi password kwenye ma internetcafe au maofisini zinazoitwa
KEYGEN . Keygen ni mada tofauti ingawa ukishtuka password yako
imeibiwa unauwezo wa kubadili password haraka .

USHAURI WANGU
Hakikisha unabadili password zako za barua pepe , kadi za benki , simu
na vifaa vingine mara kwa mara na hakikisha taarifa hizo zinatunzwa na
kama unashare na mtu hakikisha unakuwa na njia mbadala za kuweza
kurecover namba za siri kama zimepotea mara moja la sivyo siku utakuja
lia .

YONA FARES MARO
0786 806028

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] Unamwamini Vipi Mpenzi wako na PASSWORD ?"

[wanabidii] Who Owns the News Media 2012

Who Owns the News Media is an interactive database of companies that own news properties in the United States. Use the site to compare the companies, explore each media sector or read profiles of individual companies. It provides detailed statistics on the companies that now own our nation's news media outlets, from newspapers to local television news stations to radio to digital, and this accompanying summary highlights the major changes of the year. With daily newspapers still providing the majority of original news reporting, what will these new owners mean for the future of our daily news? What is their background? What is the breadth of their news properties and their properties in other industries?

While there were no major ownership changes in ethnic media in the past year, mainstream media organizations made further inroads in the market. Fox, ABC News and Comcast all made moves to create stations and programming geared to Hispanic Americans, bringing in new competition to Univision, the largest Spanish language network and now the fourth largest network overall.

http://stateofthemedia.org/media-ownership/ 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] Who Owns the News Media 2012"

[wanabidii] +++ Let us imagine what a Jew might put to Jesus!

Let us imagine what a Jew -- let alone a philosopher--might put to Jesus:

"Is it not true, good sir, that you fabricated the story of your birth from a virgin to quiet rumours about the true and unsavory circumstances of your origins? Is it not the case that far from being born in royal David's city of Bethlehem, you were born in a poor country town, and of a woman who earned her living by spinning? Is it not the case that when her deceit was discovered, to wit, that she was pregnant by a Roman soldier named Panthera, she was driven away by her husband--the carpenter--and convicted of adultery? Indeed, is it not so that in her disgrace, wandering far from home, she gave birth to a male child in silence and humiliation? What more? Is it no so that you hired yourself out as a workman in Egypt, learned magical crafts, and gained something of a name for yourself which now you flaunt among your kinsmen?"

What absurdity! Clearly the Christians have used the myths of the Danae and the Melanippe, or of the Auge and the Antiope in fabricating the story of Jesus' virgin birth.


-- Celsus. Roman philosopher (c. 2nd century, A.D.)--the first ancient author of a whole book attacking Christianity.

--
---------------------------------
Copyright © The Atheist
Skype: harrymumia
Gtalk: hmumia
Twitter: @harrisonmumia 
----------------------------------
BECOME A FREE THINKER BY FOLLOWING US ON:
Follow Kenyan Free Thinkers: @freethinkers_ke

(+254) 0728 582 317



--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] +++ Let us imagine what a Jew might put to Jesus!"

[wanabidii] hali ya Dk Ulimboka yabadilika ghafla

Habari zilizopatikana mchana huu kutoa Hospitali ya Taifa Muhimbili, zinasema hali ya kiafya kiongozi wa Jumuia ya madaktari, Dk Ulimboka, imebadilika ghafla, kwamba ni mbaya tofauti na alivyokuwa asubuhi.

Tunazidi kumwomba Mwenyezi Mungu alinde maisha ya Dk huyu ambaye alitekwa na kufanyiwa unyama na watu wasiojulikana.

By Arodia Peter

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] hali ya Dk Ulimboka yabadilika ghafla"

[wanabidii] Naibu Waziri wa Elimu na Utamaduni Apata Ajali Mbaya Nzega

Naibu Waziri wa Elimu na Utamaduni Amepata Ajali Mbaya wilayani Nzega
mkoani tabora alikokuwa anasubiriwa kwa ajili ya kikao fulani , sasa
hivi amekimbizwa hospitali ya mkoa kwa ajili ya Matibabu

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] Naibu Waziri wa Elimu na Utamaduni Apata Ajali Mbaya Nzega"

[wanabidii] Fwd: FW: Media Freedom Survey



---------- Forwarded message ----------
From: Legal and Human Rights Centre <lhrc@humanrights.or.tz>
Date: Fri, Jun 29, 2012 at 12:09 PM
Subject: FW: Media Freedom Survey
To: pasience@gmail.com




-----Original Message-----
From: L. Schneider, Uni Hamburg [mailto:laura.schneider@uni-hamburg.de]
Sent: Wednesday, June 27, 2012 4:13 PM
To: lhrc@humanrights.or.tz
Subject: Media Freedom Survey

Dear LHRC-staff,

I am a PhD candidate from Germany working on global media freedom at
the University of Hamburg.

The aim of my research is to improve the measurement of media freedom
in order to get more objective and realistic results about the
situation of the media in a country. Therefore I am conducting the
"Media Freedom Survey" among experts all over the world.

Since you and your organization are important experts and your opinion
crucial, I would like to ask you for your help: Please follow the link
below and fill out
the questionnaire. It is hard to get opinions from your region.

http://ww3.unipark.de/uc/hh_fak5_lschneider/a55d/

It takes you only 7 minutes, but for media freedom research it means a lot!

Unfortunately, as a researcher I rely on the help of organizations
like yours. Therefore, I want to ask you: Is there any possibility for
you to send the link to the survey via your mailing list to your
partners and members? I rely on your cooperation.

Thank you very (very, very) much, I really appreciate your help!

With best regards,
Laura Schneider, M.A.

Doktorandin der Graduate School Media and Communication Hamburg (GMaC)
Stipendiatin der Rudolf-Augstein-Stiftung


Mittelweg 177
20148 Hamburg

Ph: +49 (0)40 413307 213

E-Mail: laura.schneider@uni-hamburg.de




--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] Fwd: FW: Media Freedom Survey"

[wanabidii] TUOGOPE MAGARI TINTED!

This was forwarded to me, tuisome!
 
Dear friends Leo nimeona ni vyema nika-share nanyi kisa hiki cha kutekwa
mfanyakazi mwenzetu ambaye ni cashier siku ya jumatano jioni wiki
iliyopita. Ni kama movie lakini ni ukweli, cashier wetu aliomba ruhusa
siku hiyo ya tukio aende kwenye mkutano wa wasabato uliokuwa uliendelea
viwanja vya biafra. Yeye pia ni msabato aliyeishika dini ya Sabato haswa, kwa
hiyo aliondoka saa kumi kamili badala ya saa kumi na moja.
 
 Baada ya dakika 40 tulianza kupokea sms zinazosema mwenye namba xxx amepata ajali na kufa
papo hapo na kwa taarifa zaidi twende muhimbili hospital. Baada ya
kutazama hiyo namba xxx ilikuwa ni ya cashier wetu. Tulijaribu kuipiga
iliita tu bila kupokelewa, na pia tulipiga namba iliyotutumia sms iliita
bila majibu. Ilipofika saa kumi na moja tuliamua kuelekea muhimbili, ma
baada ya kufika pale emergence tukaambiwa tuelekee chumba cha kuhifadhia
maiti. Tulioneshwa mwili wa mtu aliyepata ajali lakini haukuwa wa cashier
wetu, tukawatuma wenzetu waende hospitali zote lakini hapakuwa na taarifa
zake.
 
Baada ya kuzunguka bila mafanikio tulitoa taarifa makao makuu ya
usalama barabarani na baada ya dk kumi wakatwambia kuwa hakuna taarifa za
ajali mbaya iliyotokea jioni hiyo. Hatua iliyofuata ilikuwa ni kutoa
taarifa polisi juu ya tulio hilo na ndipo waliposema kwa kuwa ni mtu mzima tusubiri hadi siku inayofuata.
Wakati huo huo ndugu zake pamoja na wafanyakazi wenzetu walikuwa pamoja
wakiendelea na jitihada za kumtafuta hadi saa sita usiku.
 
Kilichokuwa kinatia wasiwasi zaidi ile namba iliendelea kutumia sms namba takribani
zote zilizokuwa kwenye phonebook yake na ndugu zake hawakuwahi kuona
ndugu yao akichelewa kiasi hicho.
 
Ilipotimu mida kama ya saa sita na nusu walisikia mtu akigonga mlango, alikuwa kaumizwa na amejaa matope, hakuwa
na uwezo wa kuzungumza sana, ilibidi wampeleke kituo cha polisi na baada
ya muda hospitali ya mwananyamala. Alipopata nguvu alianza kuwasimulia
nduguze kilichotokea. Alipotoka ofisini alikwenda moja kwa moja kwenye
kituo cha daladala cha karakana, pale kituoni walikuwa abiria wawili
yaani yeye na mama mmoja. Baada ya dk chache ilikuja coaster iliyoandikwa
mbele Kawe na ilikuwa na tinted nyeusi, yule mama hakupanda sababu
alikuwa anaelekea posta ila yeye alipanda. Ndani ya gari kulikuwa na watu watatu pamoja na dereva, wawili
wakiwa wamekaa nyuma na mmoja akiwa amekaa karibu na driver. Gari hiyo
hiyo ilikuwa ni mpya, mmoja wa abiria alimumba simu cashier apige simu
moja kwa jamaa yake maana alidai kuwa simu yake illiishiwa charge na
walikuwa wametoka mtwara kupeleka maiti, alimuuliza cashier umri wake na
kama ameoa na anafanya kazi wapi, cashier akamjibu hajaoa na hana kazi
pia ana miaka 32.
 
Walipofika Tazara hawakutaka kupakia abiria yoyote na
walikuwa wote wamevaa miwani myeusi, na ndipo akaanza kuingiwa na mashaka
akaomba ashuke, wao wakamwambia watapita biafra na hawana mpango wa
kusanya kwa kuwa hata yeye walimpa lifti tu.
 
Gari ilipokaribia taa za buguruni akainuka ili ashuke, jamaa wale wa nyuma wakamkalisha chini kwa
nguvu, na sio kwenye viti yaani chini kabisa. Mmoja wao akafunga kitambaa
cheusi kwenye macho na mikono ikafungwa kwa nyuma na mipira, baada ya
muda akasikia kama wamempulizia perfume. Akihisi fahamu kumtoka polepole na neno lamwisho analokumbuka
alisikia kuwa waelekee misitu ya Kibaha wakamalize kazi. Kilichomwamsha
ni kofi zito alilopigwa na kusukumwa hadi nje ya gari. Alianza kulia na
kuwasihi wasimdhuru, wakaanza kumrusha kichurachura huku wakimkanyaga.
Walikuwa wameshamfungua kitambaa machoni na waliacha gari umbali kama wa
dk kumi na lilikuwa ni pori zito na giza, wao walivaa vitu usoni na
walikuwa wamevaa gloves.
 
Wakamwekea simu yake mfukoni wakiwa wametoa simcard, walichomwambia wanachohitaji ni sehemu zake za siri na sio kitu
kingine.  Mmoja wao akaambiwa alete kisu kikali wanachokitumia, na
walipompigia boss wao akawasisitiza nyeti zinazotakiwa lazma ziwe za mtu
wa miaka 40 na kuendelea. Mwenzao mmoja akasema cashier alisema alikuwa
na miaka 32, baada ya kumkagua wakakuta card yake inaonyesha kazaliwa
mwaka 1979. Kulingana na yeye asemavyo ndicho kilichomwokoa ila
waliendelea kumkung'uta kwa hasira. Wakamrudisha kwenye gari na baada ya mwendo wakampakia kwenye gari nyingine ndogo
iliyokuwa na watu wawili ambao walimchukua na kumtelekeza maeneo ya
sayansi.
 
Hawakuchukua kitu hata kimoja wala kumwambia lolote,siku
iliyofuata alipelekwa agakhan kwa uchunguzi zaidi na kwa sasa anaendelea
vzr. Kwa ufupi ni hayo, ukweli mwenyezi Mungu atulinde na tumwombe pia
abadilishe mioyo ya watu ambayo imekuwa migumu mno kwa ajili ya kupata
vyeo na utajiri wa haraka Sent from my BlackBerry® smartphone provided
by Airtel Tanzania. -- 'Friends, Social Economic Association (FSEA),
Together we move forward!'. -- 'Friends, Social Economic Association
(FSEA), Together we move forward!'. -- 'Friends, Social Economic
Association (FSEA), Together we move forward!'. -- - Kilimo kwa Maendeleo
yetu na Taifa -_______________________________________________
UDASA mailing list
UDASA@udsm.ac.tz

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] TUOGOPE MAGARI TINTED!"

Thursday 28 June 2012

[wanabidii] Dr. Steven Ulimboka - MOI ICU

Read More :- "[wanabidii] Dr. Steven Ulimboka - MOI ICU"

[wanabidii] A new Egypt is steadily taking shape

A new Egypt is steadily taking shape

Dr. Muhammad Morsi, the new president of Egypt. (Picture obtaind from: http://en.rian.ru/images/17379/12/173791264.jpg).

Mobhare Matinyi, Washington DC, The Citizen, Tanzania. Thursday, 28 June 2012 21:02 This e-mail address is being protected from spambots. You need

For the first time in the history of Egypt, a democratically elected president is in charge. That is none other than Dr Muhammad Morsi Isa al-Ayyat, an engineer, academic, politician, and a respected member of a long-time conservative religious movement, the Muslim Brotherhood.
Dr Morsi, 60, a former engineering professor at Zagazig University whose faculty he joined in 1985, has so far proved to be the smart guy that Egypt needs. The way he ran his presidential campaign, his approach in crafting his domestic and foreign policies, and his well-calculated move to grab power from the military without angering them, brings optimism that Egypt is on the right track.
So far Egypt hasn't really proved that a classic revolution has already taken place, but with Dr Morsi in the driving seat hope is emerging that eventually Egyptians may call the whole circus that started February last year a true revolution. Why? It is because the military, which is the most powerful institution in the Egyptian polity, is still in control.
After a June 24 announcement by the Supreme Council of the Armed Forces that he had won the election by 51.7 per cent against former Prime Minister Ahmed Shafiq's 48.3 per cent in the run-off, Dr Morsi didn't threaten anyone inside or outside Egypt, and by June 27 he was already talking to religious leaders.
Not many people may know this, but apart from being a powerful Muslim nation and a leader in Arab socio-cultural affairs such as the movie industry, music, education, and the likes, Egypt is also the headquarters of the world Coptic Church with a pope sitting in Cairo, officially known as the Archbishop of Alexandria. This makes religious leaders in the secular state of Egypt an important factor in the stabilization project considering the fact that of recently things have not been so calm between Egyptians of different faiths. The president-elect has also met the families of the martyrs who died during the 2011 revolution that ousted despot Hosni Mubarak.
Dr Morsi is now faced with a tough reality which saw the military council disbanding the Islamist-dominated parliament following a court order issued earlier this month. That order allowed the military to assume legislative powers, even forming a national security council headed by the president, but dominated by army generals.
Furthermore, should the court decide to disband the constituent assembly elected by the parliament, the military will exercise its powers to appoint a new one. The court is expected to announce its ruling on September 1. However, the Muslim Brotherhood has already made it clear that the military cannot appoint a constituent assembly at this crucial time when the new Egypt is going through democratization.
But the president-elect is happy to have received a court decision, practically a blow to the military council, which suspends military powers to arrest civilians. Should the judiciary prove to the Egyptians that it can work independently, then Dr Morsi will have an easy way at least when it comes to legal matters.
Amidst all these challenges, Dr Morsi's policy adviser, Ahmed Deif, this week told CNN that the president-elect will pick a woman and a Christian as his two vice presidents. This step will be another proof that he is the president of all Egyptians.
As he promised, Dr Morsi assured Egyptians of his loyalty to the country by quitting his position as the Chairman of the Freedom and Justice Party (FJP) immediately upon winning his presidential election. FJP was formed by the Muslim Brotherhood in 2011to make sure that one of their own becomes the first civilian president of Egypt.
Dr Morsi, who served as an independent member of parliament between 2000 and 2005, is an Egyptian and American-trained engineer who received his Bachelor's and Master's degrees in engineering from Cairo University in 1975 and 1978 respectively. He then received an engineering doctoral degree from the University of Southern California in 1982, where he also taught until 1985.
Dr Morsi has so far promised to respect all international agreements, which include the 1979 peace accord between Israel and Egypt, but there is no automatic assurance that he will continue to help Americans in their cold-war against Iran and the much-talked-about war on terror. That so far is a headache for the Americans.
The Egyptian military wants to maintain control of at least three key ministries, that is, interior, justice and defense, and this not mentioning the national security council and the whole process of remaking the constitutional assembly.
It remains to be seen what Dr Morsi will do to change Egypt. In any case, this is a new Egypt and we hope that the Western powers will respect the will of the Egyptian people who elected the man known for saying "Islam  is the solution," presumably to the problems facing Egyptians.

SOURCE: http://www.thecitizen.co.tz/editorial-analysis/47-columnists/23571-a-new-egypt-is-steadily-taking-shape

Read More :- "[wanabidii] A new Egypt is steadily taking shape"

[wanabidii] Hospital ya Mkoa wa Dodoma Yasimamisha 11 Kwa Mgomo

WAKATI mgomo wa madaktari ukiendelea katika mikoa mbalimbali,
Madaktari 11 wa mafunzo kwa vitendo katika Hospital ya Mkoa wa Dodoma
wamesimamishwa kazi kutokana na kuendelea na mgomo.

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] Hospital ya Mkoa wa Dodoma Yasimamisha 11 Kwa Mgomo"

[wanabidii] BREAKING NEWSSS: Madaktari 72 watimuliwa kazi -MBEYA

http://mbeyayetu.blogspot.com/2012/06/breaking-newsss-madaktari-72-watimuliwa.html?spref=fb

BODI ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mbeya, imewasimamisha kazi
madaktari 72 kwa kosa la kutoingia kazini kwa siku tano jambo ambalo
ni kinyume cha makubaliano ya mkataba.
Imeelezwa kuwa madaktari hao ambao 54 ni wale wa mafunzo ambao
waliingia mkataba wa miaka miwili na hospitali ya Rufaa na madaktari
18 ni wale walioajiriwa na Wizara ya afya.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mwenyekiti wa Bodi Kaimu Mkuu wa
Mkoa wa Mbeya Norman Sigara, alisema kitendo cha madaktari kutoripoti
kazini kwa siku tano ni ukiukwaji wa kanuni za utumisha wa umma toleo
la 2009 kifungu namba F.16-F17 na F. 27.
"Hivyo kupitia kanuni hiyo madaktari hao wamesimamishwa kazi na
kurudishwa kwa mwajiri wao ambaye ni Katibu Mkuu Wizara ya Afya na
Ustawi wa Jamii kwa hatua zaidi za kinidhamu,"alisema Sigara.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti huyo wa Bodi, imeelezwa kuwa siku ya tarehe
23/6/2012 wafanyakazi 15 waliokuwa zamu(Intern Doctors 12 na
Registrars3) hawakufika kazini na tarehe 24/6/2012 wafanyakazi
19(Intern doctors 15 na Registrars 4) hawakufika kazini.
Alisema, kuanzia tarehe 25/6/2012 hadi leo imethibitika kuwa Interns
doctor 54 na Registrars 18 hawakufika kazini hadi leo tarehe 28/6/2012
ambapo tarehe 25/6/2012 bodi ya hospitali ilifanya kikao cha dharura
kujadili hali ya utendaji kazi na utoaji huduma hospitalini na kutoa
uamuzi.
Sigara, aliyataja maamuzi hayo kuwa ni Mwenyekiti wa Bodi akutane na
madaktari ambao hawakufika kazini ili awasikilize sababu za kutofika
na kujadili namna ya kumaliza matatizo hayo jambo ambalo madaktari hao
waligoma.
Alisema, baada ya madaktari hao kukaidi ombi hilo, Bodi ya hospitali
ili waandikia barua za kujieleza kwanini wasichukuliwe hatua za
kinidhamu kwa kuvunja mkataba walioingia na hospitali na pia kukiuka
kanuni za kudumu za utumishi wa umma nalo walilikaidi

"Iwapo madaktari ambao hawakuripoti au kueleza sababu za kuridhisha
ifikapo tarehe 28/6/2012. Kwa kuzingatia kanuni za utumishi wa Umma,
madaktari hao watasimamishwa kazi na kurudishwa kwa mwajiri wao ambaye
ni Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,"alisema.
Aidha, alisema kuwa kwa ujumala madaktari hao waligomea barua zote
mbili yaani ya kuitwa kwenye kikao pamoja na ile ya kuwataka kujieleza
hivyo Bodi imechukua hatua za kisheria za kuwafukuza kazi.
Hata hivyo Mwenyekiti huyo wa bodi, alisema kuwa tayari hospitali ya
Rufaa kwa ushirikiano wa Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya, madaktari watano
wamepatikana ili kusaidia huduma kwa hospitali hiyo.

--
Ipyana Lwinga
Shinyanga Mjini

Email: ipyanalwinga@gmail.com
Mob: +255 757 065577
Skype: ipyana.plwinga

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] BREAKING NEWSSS: Madaktari 72 watimuliwa kazi -MBEYA"

[wanabidii] Uchaguzi wa Rais Kwenye Nchi ya Kusadikika

Read More :- "[wanabidii] Uchaguzi wa Rais Kwenye Nchi ya Kusadikika"

[wanabidii] Looking for 2010 Export data by major exporters

Dear all

We are looking for information on top exporters (constituting 50-70%) of
Tanzanian exports of the following products for 2010:

- Gold
- Sisal
- Manganese
- Textile
- Cotton
- Cashew
- Cloves
- Wheat

Any ideas on where we could get the data would be highly appreciated?

In the absence of concrete data, even a lead as to who are the major
exporters would be highly appreciated


--
"Give your energy to things that give you energy.",

"Learn enough to begin and then learn as you go."


Dr. Donath R.Olomi
Chief Executive Officer
Institute of Management and Entrepreneurship Development (IMED)
Mwalimu House 7th Floor, Ilala
P.O. Box 35036 Dar es Salaam, Tanzania E-mail: info@imedtz.org, website:
www.imedtz.org
Mobile +255-754-296660

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] Looking for 2010 Export data by major exporters"