Saturday 7 July 2012

[wanabidii] Hongera Hasheem Thabeet kwa kingia mkataba wa miaka 2 na Oklahoma City


Hasheem Thabeet, Mtanzania anayecheza mpira wa kikapu Marekani amesaini mkataba wa miaka 2 na timu ya Oklahoma City Thunder..!!!

Watanzania ni wakati sasa wa kujivunia mafanikio ya baadhi ya watanzania wanaofanya vizuri katika viwango vya kidunia, katika historia ya michezo tangu tupate uhuru ni Hasheem Thabeet pekee ndio ameweza kufanikiwa na kucheza ligi ya juu kabisa duniani katika michezo.


Wako watanzania wengi wamefanikiwa katika michezo mbali mbali na kufanikiwa kucheza katika ligi za mchezo mbali mbali  na katika nchi mbali mbali ila kila mchezo una ligi zake ambazo ni za kiwango cha juu  juu kabisa ni yeye pekee ndio amweza kufanya hivyo kwa kufanikiwa kucheza mfulilizo. Hasheem amecheza timuza Memphis na baadae kucheza Houston Rocket na mwshoni mwa msimu uliopita alicheza Portland Trail Blazers. Katika timu ya Blazers alicheza michezo yote 16 liyokuwa imebaki kabla ya msimu kumalizika.

Hasheem kwa sasa ndio mwafrika mwenye kiwango cha juu kabisa miongoni mwa waafrika wanaocheza kikapu Marekani na ni mchezaji pekee anayecheza huko toka ukanda wa Afrika , Mashariki, Kati na Kusini. Hasheem ni mchezaji wa Afrika ambaye ameingia NBA akiwa na kiwango cha juu kabisa katika historia ya mchezo huo, yaani No. 2 NBA Draft ya 2009.

Kwa Hasheem kuchukuliwa na timu kama Oklahoma City ambao ni mabingwa wa kanda ya magharibi ya NBA na mwaka huu walicheza fainali ya ubingwa wa NBA na kushindwa na Miami Heat, inaonyesha jinsi ambavyo bado mchezaji huyo anathaminiwa na bado uwezo mkubwa wa kuisaidia timu kubwa kama OKC ili iweze kufikia malengo yake.

Hivyo basi kwetu sisi Tanzania tunampongeza na kujivunia mafanikio hayo. Hasheem pia amekuwa ni mchezaji pekee wa kiwango cha juu ambaye amekuwa akirudisha fadhila nyumbani na kila anapo pata mapumziko huwa anarudi nyumbani kuja kushirikiana na watanzania wenzake ili kuwainua na kuibua vipaji.

Kwa niaba ya shirikisho la mpira wa kikapu Tanzania, natoa pongezi nyingi kwa Hasheem na tunamtakia kila heri na tumuombee kwa Mungu ili afanikiwe zaidi katika kikapu.

Mungu Mbariki Hasheem, Mungu ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika.

Phares Magesa
Makamu wa Rais
Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF)



Read More :- "[wanabidii] Hongera Hasheem Thabeet kwa kingia mkataba wa miaka 2 na Oklahoma City"

[wanabidii] Ushauri wa mbowe juu ya msongamano wa magari

Nimesoma katika magazeti kuwa Mbowe katoa mapendekezo kadhaa juu ya kupunguza msongamano wa magari dar, baadhi ya point nilizoona ni;
1. Kuwekwa ada za magari kuingia mjini
 
2. Ziachwe njia za watembea kwa miguu
 
3. Yajengwe madaraja ya watembea kwa miguu.
 
Labda namie niseme;
1. Kuwekwa ada za magari kuingia mjini
Tayari ada zipo kwa jina la "parking fee" lakini haijasaidia, kuiongeza ni kumuumiza binti anaetumia usafiri wake kwenda kazini achilia ka mkopo ka benki anakokalipa kwa shida. Kwa maana nyingine anasema watu wanaendesha magari kwenda mjini kwa ufahari, la hasha adha za daladala ndo zinasukuma, wengine ni wafanyabiashara hubeba mauzo. labda angeshauri makampuni kama NSSF na PPF waache kujenga business complex katikati ya mji. maeneo ya mlimani city na mawasiliano house hayapo azikiwe mbona yanafanya biashara vizuri tu.
 
2. Ziachwe njia za watembea kwa miguu
Sidhani kama unaweza egesha gari yono watalifunga mnyororo na kuliburuza. hata hivyo hakuna mtu anaweza tembea kwa miguu kutoka mwenge hadi posta kama tukiondoa haya magari anayozungumzia bwana mkubwa. Ningeshauri sumatra waweke madaraja ya usafiri yenye nauli tofauti mfano economy coaches (nauli 300/=) business coaches (nauli 1000/=) executive coaches (nauli 5000/=) mkazi wa makongo juu anaweza kuegesha gari mlimani city then anapanda bus hadi posta.
 
3. Kujenga madaraja ya watembea kwa miguu
Bado viwete na wasukuma toroli hawataweza kuvuka barabara kwa kutumia hayo madaraja kama ya manzese, labda wakati waupanuzi wa barabara tufikirie kujenga subways ambazo hata viwete na wasukuma toroli na guta watatumia kuvuka barabara. Tuangalie uwezekano wa Tanroad kushirikiana na sekta binafsi kujenga parking yards, mfano mtu anaweza egesha gari mbezi mwisho akapanda basi hadi kariakoo au posta, jioni akalipitia kwenda nyumbani.

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] Ushauri wa mbowe juu ya msongamano wa magari"

[wanabidii] THE POLITICS OF INVESTMENT IN LARGE SCALE AGRICULTURAL VENTURES; CASE OF MPANDA RUKWA TANZANIA

LAND RIGHTS RESEARCH AND RESOURCES INSTITUTE

LARRRI/HAKIARDHI

By Bernard Baha Senior Programme Officer Research Publication and Documentation

THE POLITICS OF INVESTMENT IN LARGE SCALE AGRICULTURAL VENTURES; CASE OF MPANDA RUKWA TANZANIA

 

1.0  Introduction

Tanzania has always been a country in the spotlight over cases of land grabbing for various uses. Over the recent past there has been a lot of information in both print and electronic media of land being taken for various investment purposes. Little is known to the public of the deals the government is entering with these foreign investment companies that are eyeing Tanzania as a destination in agricultural investment. Investment in agricultural land has been a key driving force in Tanzania as a rush now has intensified in which agricultural land is being taken for various uses. An empirical study on the ground identifies three key motives for the rush; land for bio-energy purposes, food for export and carbon credit. This is taking place in different places and regions in Tanzania, of recent Rukwa region and Kigoma have joined the race in land acquisition thanks to the Iowa-based Summit Group and Global Agriculture Fund of the Pharos Financial Group, in partnership with AgriSol Energy LLC and the College of Agriculture and Life Sciences at Iowa State University and The Tanzanian arm of AgriSol Energy: AgriSol Energy Tanzania and Serengeti Advisers Limited, a Tanzanian investment and consulting firm who are currently planning to invest in agriculture in the land that is currently designated as refugee settlements in Katumba and Mishamo in Mpanda district and Lugufu which has already been evacuated in Kigoma rural district.

 It is Serengeti Advisers that are key to the AgriSol Energy LLC decision to choose Tanzania as its investment destination over Kenya and Mozambique. According to Mr. Bertram Eyakuze, who is currently serving as AgriSol Tanzania Ltd CEO[1] Serengeti Advisers' primary role is to advice investors on how best they can invest in the country and for the best interest of both Tanzanians and the Investors. For the purpose of AgriSol, Serengeti Advisers have assumed lead role and used their resources to make sure that advanced and highly mechanized agriculture is used in Tanzania for consumption of Tanzanian and foreign market. This is in line with the National Kilimo Kwanza initiative which was promulgated in 2009. Through Kilimo kwanza the private sector is being encouraged to enter into production with a view that as a nation we need capital, technology and skills to transform the agricultural sector. Private sector is therefore being mobilized to take part in the sector that has long been neglected.

 

HAKIARDHI in collaboration with Tanzania Land Alliance, Tanzania Bio-Energy Forum (TABEF) made a follow up visit to Mpanda to explore the nature of capital investment taking place in  Rukwa and Kigoma and the socio-political implications for the peasantry in the area. In this briefing report a highlight of the findings on the basis of the objective and specific objective is given, specifically on the nature of the process of land acquisition and the response from different actors on the ground. This brief is limited only to Mpanda district where the team managed to visit two settlements planned to be used for investment after the resettlement process of the refugees and now newly naturalized Tanzanians in Katumba and Mishamo.

2.0  The politics of capital investment in Mpanda district

2.1 AgriSol Energy and its quest for investment in the area

The story of AgriSol Energy LLC is incomplete without deducing the role of a young Tanzanian who spent over 10 years in America, in his submission to the LARRRI/HAKIARDHI (Land Rights Research and Resources Institute) team Mr. Bertram who is now the CEO of AgriSol Tanzania Ltd was approached by colleagues in America who wanted his advice over investment opportunities in Africa and linked him with AgriSol Energy LLC a company which is among the biggest agricultural investor in America. According to Mr. Bertram three countries in Africa  were given priority for agricultural investment, due to the following criteria; Favorable climate, fertile soil, and political stability and on this benchmark at the time Tanzania, Kenya and Mozambique were considered as the only African countries that can be accorded investment by AgriSol. At latter stage it is Tanzania that was selected fulfilling the adage that charity begins at home. After these considerations, negotiation took off between AgriSol and government agencies as to which land can be used for investment. The claim that Tanzania has large pieces of land was unrealistic since the government couldn't locate or prove the existence of unused land. It was at this negotiation the idea to use Refugee Camps that were to be evacuated after resettlement and repatriation process geminated, this Idea found favor of the government and the investors. Earlier to this, land owned by National Service, Prisons and some of the defunct government plantations and Ranches were in the mind of negotiators.

 

AgriSol Energy LLC and its sister company AgriSol Energy Tanzania Ltd whose share is 25% draw much of their investment objectives from the Kilimo Kwanza initiative drive whose main thrust is agricultural transformation. In his press release AgriSol Tanzania Chairperson Iddi Simba[2], states that the company intents to create large-scale agriculture zones that; help stabilize local food supplies and bring lasting food security to our country; create jobs and economic opportunity for local infrastructure improvements; spur investment in local infrastructure improvements; develop new markets for our agricultural products; and attract investment in related businesses. This is corroborated by the statement from Rastetter[3] AgiriSol Energy LLC CEO who says the project will show how the use of high-quality seeds, machinery and chemicals common to U.S. agriculture can dramatically increase food production in Africa and improve the livelihoods of local, poor farmers.

 

2.2 Land grabbing or investment venture?

AgriSol plans to invest in the area has attracted wide attention both within and outside Tanzania[4]. It has been defended by the top leadership of the country and some members of the parliament as a right investment venture that will benefit the local communities and contribute in transformation of agriculture in Tanzania. Likewise it has been vindicated by supporters of investment that through this venture Tanzania is going to be self sufficient in terms of food security and it stands a chance to be a top exporter of cereals to the region and beyond apart from benefiting through technology transfer and out growers schemes that will benefit the surrounding communities that are said to also through this venture secure the market for their produce. However this position is not shared by all sections of the society locally and internationally. Like many other similar ventures this is seen as another land grab. Since the actual implementation of the investment has not yet started critics are singling out the Memorandum of Understanding (MoU) clauses as a sign that it is going to be another case of land grabbing and of course through experience of similar cases in Tanzania. In this highlight we are trying to build the case through the findings from the field and general knowledge and experience on cases of land grabbing in Tanzania and Africa in particular.

Tanzania like many other African countries have opened up its door for investment capital from within and outside, with more weight on attracting foreign direct investment. Agriculture sector has also seen its share of the same with many companies looking for ventures into food crops for export and related investments in bio-energy and carbon credit schemes involving huge chunks of land. Large-scale agricultural investments in Tanzania not only receive support from the political elite establishment, it also has its backing in the legislative frame work, in its quest for preparing conducive environment for investment the government has in place the framework that concentrates much of the decision making powers at the centre to enable easy transfer of land and where necessary acquire land for public interest, there is a framework that governs investment in general and an organ responsible for coordination of the same, Tanzania Investment Centre which apart from facilitation role manages incentives for would be investors in Tanzania.

 

The justification for investing in agriculture is on the basis that as a country, arable land accounts for 44 million hectares out of which 10.1 million hectares are currently under cultivation. Irrigation accounts for about 29.4 million hectares suitable for irrigation; out of which 2.3 million hectares are of high development potential and 4.8 million hectares are of medium development potential. There are many lakes, permanent and seasonal rivers and underground water sources for irrigation and other uses.[5] It is this kind of conclusions that brings the notion that there is plenty of unused land to be handed to private developers. In a bid to attract investors the government offers the following investment incentives package in agriculture sector: Zero-rated duty on capital goods, all farm inputs including fertilizer, pesticides and herbicides, Favorable investment allowances and deductions on agricultural machinery and implements, Deferment of VAT payment on project capital goods, Imports duty drawback on raw materials for inputs for exports,  Zero-rated VAT on agricultural exports and for domestically produced agricultural inputs, Indefinite carry-over of business losses against future profit for income tax and Reasonable corporate and withholding tax rates on dividends.

 

The AgriSol investment is a good case in justifying that in Tanzania it is the state which grabs on behalf of the investors as opposed in other areas where land is acquired illegally. In Tanzania land commercialization is seen and taken by the political elite as the root through which modernization in the agricultural sector will take place. With the use of high-tech and modern farm implements the potential to tape much of the so called un-used or underutilized land will be realized. The Prime Minister has emphasized from time to time over the importance of investment in the agricultural sector and again building on the statement he gave in Kilombero district in Morogoro region that the government would not hesitate to take over underutilized farms from the villagers should they get serious investors, this time in the parliament he vowed to die with this venture if need be.

Findings on the ground indicate a lot of land related conflicts between peasants and pastoralists as well as between pastoralists and different government organs disputing greatly the notion that there is plenty of land in the area. Even the official statistics from the district points out clearly that arable land accounts for only 19% of total land, game reserve 18, forest reserve 59% and water bodies 4% in total reserve land accounts for 77% of  land in Mpanda district no wonder that conflicts between pastoralists and game warders are rampant.  Speaking to the team of researchers a leader of pastoralists' network in the area testified that in 2009 they had presented recommendation to the Prime Minister to use part of the settlement after refugees' resettlement for pastoralism as a way of resolving conflicts between farmers and pastoralists in the area until now they have not received in response only to hear that the land in question have been earmarked for agribusiness investment. There is no doubt from the very beginning that the whole process was centrally coordinated with involvement of  key personalities like Ministers and the executive branch in general from central to local government. This is from the time that feasibility studies in 2008 started. The manner in which land acquisition process have been handled raises a lot of questions as to whether this is not another venture that we are paying at the expense of local communities that have equally same land demand given the pressure on land use.

It is evident that knowledge asymmetry between representatives of the people at the council level and executives did contribute very greatly to the councilors being used as rubber stamps. The fact that people could not even name who the investor is and for what purpose is a clearly indication that there was no transparent and accountability in general as even Councilors who took part could not explain to their people fully on the investment plans in the area, at council level the District legal officer sees this as an opportunity since the government could have decided on the matter at central government level on what to do with the land. However this further raises a lot of questions; was the local government functionaries handled the land and given directives as to who is the suitable investor? Was there a choice? This form of participation is very common in Tanzania where people are involved when matters have been already decided; it is like being informed on a decision that has long been settled.

Much as Tanzania is doing its level best in attracting foreign direct investments in the agricultural sector, the government must uphold the etiquettes of good governance. Transparency, accountability, participation and rule of law should be the driving forces; a lot of questions that have been raised still need answers, at whose expense and what terms? There is a need to review the incentives given as this leaves room for plundering of resources and when we talk of land grabbing this is it at its best; it is true that we are conceding too much for nothing.

The condition given in the title deed for commercial farms and ranches which rates land rent at 200 per acre per annum is outdated how can you give 350,000ha equivalent to 790,728.7acres at 200Tshs?[6] Per annum.  At all three sites of Lugufu, Mishamo and Katumba, the government will only earn 158,145,740Tshs! At Lugufu where the company has secured 10,000 ha which is equivalent to 24,710.27acres the government will earn 4,942,054 per annum as land rent! Another area that seem to attract attention and which leaders at different areas are handling carelessly is the question of use of GMOs, listening from the way they talk about the matter is like they have already decided that GMOs is allowed, wider consultation should be employed to reach a consensus on the matter, while there is a hype on the target market being internal and the interest sited as food security we have all the reason to suspect that this is just being used as a stepping stone as the overall investment objective is export, why would the investor think of pushing to irrevocable guarantee for an export license for maize? Another concern is similar to what happen in Kilwa with Bioshape exploiting villagers through meager wages making them abandon farming in their own farms and provide cheap labor to the company plantation, is this not going to be another way of plunging already poor peasants into destitution?

3.0  Conclusion 

The debate on large scale land acquisition in Tanzania is far from over as there is a changing dynamic now as local investors team up in joint venture with foreign investors, we are made to believe that since we have one of  our own in the investment venture our interests are taken care of. This may not be the case as we are witnessing now concentration of property in hands of the few well connected. This concentration of landed properties in the hand of the dominant class in Tanzania at the expense of the majority peasants and pastoralists is not a sign of progress but rather signify turbulent relations of classes in the future, whereas the government is leasing land for 99 years we are still a growing nation with a population of 45 Million Tanzanians, 80% still depend on agriculture, much as the government want to get rid or reduce this percentage if not handled properly this may plunge a once peaceful nation into civil unrest. With regard to the AgriSol deal much as the land targeted does not involve village lands still it falls under official land grabbing in which the government decides to allocate land to the investor regardless of the interests of other users. The law provides for this as for the case of Tanzania it is the state that holds the radical title and may decide when it comes to general land allocation. The centralized system now is manifesting itself in the manner in which we are currently witnessing rush for land in the hinterland that was not previously attractive to investments, and the leadership is at the centre stage luring in potential investors. With the opening up through infrastructure upgrading it is expected that more ventures will now flow in areas that were previously regarded as periphery, the land rights of villagers in these areas are at stake since the modernization path being advocated here has no room for small peasants and pastoralists.



[1]  Personal interview with Mr Betram, Abdu and Omar of Serengeti Advisers at Sea Cliff Hotel over the issues concerning  AgriSol investments in Tanzania

[2] Simba, I.S, Press Release on behalf of AgriSol Energy Tanzania Limited, 6th July, 2011, p. 1

[3] Iowa agribusiness investor Bruce Rastetter is leading a project to turn as much as 800,000 acres of land in the east African country of Tanzania into a massive grain-and-livestock operation. Extracted from (www.organicconsumers.org/farm.cfm) accessed on 27th July, 2011. In a direct conversation with Philip Brasher, Well-known D.C.-based agriculture reporter

[4] Oakland Institute (2011) Understanding Land Investment Deals in Africa; AgriSol Energy and Phalos Global Agriculture fund's Land Deal  in Tanzania

[5]  URT (-) Ministry of Agriculture and Food Security; A summary of investment opportunities available in the Tanzania's Agricultural Sector

[6] Note that the figures given as size of land may change for Katumba and Mishamo at the time of the fact finding mission were still at feasibility study, it is only Lugufu where 10,000ha are confirmed to have been allocated.

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] THE POLITICS OF INVESTMENT IN LARGE SCALE AGRICULTURAL VENTURES; CASE OF MPANDA RUKWA TANZANIA"

[wanabidii] Reinforcing presumed religious identities



Thought this could refresh your meditations, through mediations!
Slm
Reinforcing presumed religious identities

Source: butterfliesandwheels.org

Where are women and secularists of Muslim countries in Obama's speech in Cairo?

 

bwanatosha@hotmail.com sent this using ShareThis. Please note that ShareThis does not verify the ownership of this email address.

Read More :- "[wanabidii] Reinforcing presumed religious identities"

Friday 6 July 2012

[wanabidii] We The People How To Save An American Economy



 

Folks,

 

 

It is the people who must do the right thing to bring change that can be believed on, change that is meaningful and change that can be relied upon. If Congress is not able to work, it is important that voters put in new people who can work and effect changes that are needed as necessary. For those leaders who must have their way or no way, voters must decide.

 

Political Lobbyist who spend big money to influence and buy voters to send leaders who will concentrate their service to Special Interest, their agenda must be defeated. This is because if they win, Public Interest will suffers. This was the reason for Economic Meltdown during Bush Administration and thereafter became a stumbling block during the second half of the First Term of Obama Administration.

 

Business Corporations can only shape up to respect Public Mandate if and when People demands for their Constitutional Bill of Rights. The Government leadership is capable to influence Legislative Bills of Rights if voters make their voices talk through their votes.

 

Buying of votes, obstructions, threats and intimidation of potential voters is unconstitutional and are not good democratic signs to an effective Political management team of elected leaders that can effectively deliver public service according to Public Mandate. This irregular practices robs away human dignity from using their full potential with free conscience betrayed from fair election process and participation. Corruption, abuse of power, money and status are immorally done from a corrupt conscience which brought the Economic Crisis with huge deficit debt.

 

The America's Economic position was in a state of collapse when President Obama took Office from President Bush; as a result of unregulated Trading practices by big corporation companies especially those with vested interest who took America's jobs overseas through outsourcing.

 

President Obama kept his campaign promises to voters where all were fulfilled amidst obstruction and delaying tactics by the GOP in the second half of the first term. If the GOP team were able to cooperate in a bipartisan manner, many more would have been accomplished including creations of new jobs. The economy too would have picked up in a faster pace that the speed it did.

 

Truly, we must play fair to President Obama. We should give credit where credit is due. President Obama with all due respect, demonstrated rare skills in Responsibility, Commitment with Integrity in both Domestic and Foreign Affairs. He will do better on his second term if given a second chance.

 

President Obama is on the go through campaign trail marketing his to Do List for Job Creation that which will improve economy and boost more industries; he will continue to improve science and Technology.

 

I am confident President Obama will do better to put America on the Top of the World from the lost glory where America was headed to down-turn Great Depression before President Obama took over leadership.

 

If we are able to put aside discriminative behaviors, hate attitudes with racial differences together, we can make this Great Nation most Powerful and sincerely adored by many in the world. We must not forget that before President Obama came to power, America was so hated by most Nationals of the world. America is beginning to wean, it needs to gain ground with the kind of President Obama's good leadership with a responsible committed team in the Congress who together in a bi-partisan engagement, will drive America to greater heights without any influence from right wing Corporate Special Interest intimidation, obstruction, sabotage or manipulation.

 

President Obama must not fear, so far he has performed very highly. He must remain robust so he is able to energize and stimulate the crowd. He must not withdraw. We all know it has been very hard for him, but he need to gather strength for just a short distance.

 

Mitt Romney failed to show consistency and commitment to public mandate. He has the money but lacks the "in-thing". He is not clear about what and how he want to move forward. His plan is not coordinated. He does not have a clear agenda for where he want to take the country. Knowing that Unfair Trading Practices must be put on checks under clear regulations in order that the Economy

 

can balance and be sustainable, he will do things differently to protect Corporate Special Interest which brought the country into being stuck in the mad. Mitt Romney will fail to deliver public mandate as required because his number one to of his agenda will be to return back the favors from campaign money hand-out from the rich through favors and he will want to do is to return the campaign money from the rich through favors and this will return the country back to Economic Crisis in a very short space of time. Public interest will be secondary with very little improvement.

 

A President's job is to be responsible to all in a balanced manner and the President cannot be selective for just the Special Interest agenda

 

Give President Obama a second chance, and God will Bless us all........

 

Cheers !!!!



Judy Miriga
Diaspora Spokesperson
Executive Director
Confederation Council Foundation for Africa Inc.,
USA
http://socioeconomicforum50.blogspot.com
 
 
 
 
We The People | How To Save An American Economy
Published on Jul 3, 2012 by Citizensgateway

PLEASE SHARE IF YOU FEEL THIS.
How to fix an American Economy
Help us finish this movie : http://www.kickstarter.com/projects/wtpmovie/we-the-people-0

"We The People" is documentary that will explore what happened to the American Economy and many real-life solutions to fix it. The core values of this film will focus on :

- Holding people accountable for the actions
- Strengthening the middle class (driving force of our economy)
- Bringing jobs back to America
- Bringing production back to America
- Inspiring innovation
- Better our educational system
- Getting money out of politics
- Inspiring Americans to help each other
- Bringing back morals and ethics
- Resolve American Debt Crisis



Official WTP Webpage : http://www.wtpmovie.com
Facebook Page : http://www.facebook.com/WtPmovie
Facebook Group : http://www.facebook.com/groups/WeThePeopleMovement/
Twitter : @wtpmovie

info@citizensgateway.com

 
 
 
Romney's BAIN 'Outsourcing' Past Catches Up To Him at Uber-Rich Donor Retreat
The Rachel Maddow Show - Obama keeps focus on Romney's time at Bain
http://www.youtube.com/watch?v=Fo8RHjJEr_M&feature=relmfu
Published on May 21, 2012 by Licentiathe8th

May 21, 2012
Andrea Mitchell, NBC News chief foreign affairs correspondent and host of "Andrea Mitchell Reports" on MSNBC, talks with Rachel Maddow about her exclusive interview with Newark Mayor Cory Booker and the damage done to the Obama campaign by Booker's conflation of President Obama's criticisms of Mitt Romney's tenure at Bain Capital with the right-wing attacks on Rev. Jeremiah Wright.

 
 
 
The ED Show - Gas prices drop, Republicans are silent
Published on Jul 3, 2012 by Licentiathe8th

July 3, 2012
Republicans were hammering President Obama over high gas prices in the Spring. Now prices have dropped by 60 cents a gallon and Republican criticism has gone silent. Commodities Commissioner Bart Chilton and Democratic Strategist Bob Shrum join Ed Schultz to talk about the policy and politics behind gas prices.

 
 
 
The ED Show - This is what global warming looks like
Published on Jul 3, 2012 by Licentiathe8th

July 3, 2012
The US is in the grip of the hottest summer on record, which fueled the storm that hammered seven states last weekend. Ed Schultz talks to Eugene Robinson, MSNBC Political Analyst, and Associate Editor And Pulitzer Prize-winning columnist for the Washington Post about why politicians still deny climate change exists.

 
 
 
President Obama Introduces a To-Do List for Congress
Published on May 8, 2012 by whitehouse

President Obama introduces his "to-do list" for Congress, a list of initiatives that will create jobs and help the middle class, and calls on Congress to take action on the list's first item by passing legislation that rewards companies who bring jobs back to American with lower taxes and pay for it by eliminating tax incentives for companies to ship jobs overseas.

 
 
 
Obama Motorcade, Driving in Maumee Ohio . 7/5/2012
Published on Jul 5, 2012 by SaberTanker22

Here we have the Film of his Motorcade in with it was Amazing to see something like this first time for me anyways. Enjoy him rolling down the streets of maumee in with i also live at.

 
 
 
President Obama Ground Force One Bus Tour Ohio (July 5, 2012)
Published on Jul 6, 2012 by DefinitelyAbsolute

President Barack Obama's "Ground Force One" bus has a new presidential seal as he campaigns through Ohio from Maumee to Sandusky on Thursday, July 5, 2012.

 
 
 
The Last Word - Romney takes the Biden Bain bait
Published on May 17, 2012 by Licentiathe8th

May 16, 2012
After Vice President Biden's fiery attack, Mitt Romney breaks his silence on Bain Capital and responds with a claim Washington Post fact checkers deem "untenable." MSNBC's Alex Wagner and Chris Hayes discuss with MSNBC's Lawrence O'Donnell.

 
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] We The People How To Save An American Economy"

[wanabidii] Ile maana ya Mwenge wa Uhuru bado tunaiheshimu?


Tanzania...Tanzaniaaa...
Nakupenda kwa moyo woteee...
Nchi yangu Tanzaniaaa...
Jina lako ni tamu sanaaa...
Read More :- "[wanabidii] Ile maana ya Mwenge wa Uhuru bado tunaiheshimu?"

[wanabidii] Viongozi Mbona Kimya?/Tungo Zetu


Isilamu na Wakristo, mapadri na maimamu
Uwe John au Mrisho, kabwela na taalamu
Na mkumbuke ya mwisho, bila ya kutabasamu
Moja, mbili au tatu: viongozi mbona kimya?

Bila ya kutabasamu, turekebeshe Katiba
Wajibu biniadamu, kutumia maarifa
Tushike zetu khutwamu, tupambe letu Taifa
Moja, mbili au tatu: viongozi mbona kimya?

Tupambe letu Taifa, sote tuje songa mbele
Kwa gazeti na jarida, malumbano na tongole
Tujue tulipofika, mashababi na wavyele
Moja, mbili au tatu: viongozi mbona kimya?

Mashababi na wavyele, Bara na Uswahilini
"Kero" zimejaa tele, zakwea juu na chini
Mustakbali tuuweke, wa Dola pasina Dini
Moja, mbili au tatu: viongozi mbona kimya?

Kwa Dola pasina Dini, Waislamu na Wakristo
Ndipo kweli kwa yakini, zetu kheri kuja mwisho
Tusikumbwe na majini, Paulo wala Mrisho
Moja, mbili au tatu: viongozi mbona kimya?
-----
Wenu,
Msikizi,
Bwanatosha
+33-6-33071051



From: ahmed@ahmedrajab.com
Subject: Viongozi Zanzibar wawe na ujasiri wa haki kuiita haki
Date: Thu, 5 Jul 2012 16:00:20 +0300



Viongozi Zanzibar wawe na ujasiri wa haki kuiita haki

Ahmed Rajab

Toleo la 246

4 Jul 2012

WA KALE walisema: "Kila upepo una tanga lake." Na upepo tulio nao leo ni upepo wa kidemokrasia.  Alhamdulillahi, leo  Watanzania wanaishi katika mazingira ya kidemokrasia ingawa demokrasia  yenyewe ni changa na ina mapungufu kadha wa kadha.

Hata hivyo, Wazanzibari na wenzao wa Bara wanaweza kujifaragua kidogo kwa vile wana uhuru wa kukusanyika na wa kusema, wana uhuru wa kutoa maoni yao bila ya hofu ya kuingiliwa na vyombo vya dola.

Sisemi kwamba hivyo vyombo vya dola havijaribu kuuingilia uhuru huo; vinajaribu lakini vinashindwa kwa sababu ya haya mazingira ya kidemokrasi yaliyopo.  Hii leo Tanzania haina tena mfumo wa kuwa na chama kimoja kilichojipa uhalali wa kuwa chama pekee cha kisiasa na chenye kiongozi mwenye mamlaka na uwezo unaomfanya awe na amri juu ya mzingo mzima wa kisiasa nchini.

Katika enzi zilizopita kiongozi aina hiyo kwa kutumia njia za halali au za dhulma, alikuwa na tabia ya kulitaka Taifa zima lifuate amri zake, wananchi waitikie 'amin' kwa kila alichokisema.  Bila ya shaka kiongozi wa sampuli hiyo hakuwa na uwezo wa kufanya hivyo peke yake.  Akifanya hivyo kwa kushirikiana na vibaraka wake pamoja na taasisi za usalama ambazo zilikuwa na kazi ya kuwaziba mdomo wananchi na kuwafanya wasithubutu kutamka hata 'kwi' dhidi ya matendo yake kiongozi.

Kinyume na mambo yalivyo sasa siku hizo kulikuwako pia sheria za kimabavu zilizowafanya watawala watende matendo ya kinguvu na kijeuri.  Wakati huohuo sheria hizo zikiziminya haki za wananchi.  Hiyo ndiyo hali iliyokuwako Zanzibar wakati nchi hiyo ilipokuwa inaendeshwa katika mfumo wa chama kimoja cha kisiasa tangu mwaka 1964 hadi 1995.  Hali hiyo ilikuwapo pia Bara.

Katiba ya Zanzibar, katika vifungu vyake vinavyohusika na haki za kimsingi za binadamu, inampa nguvu mwananchi ya kutokubaliana na maamuzi ya kisera ya wale wenye kushika hatamu za utawala wa nchi.  Nao huwa ni watu wanaochaguliwa na wananchi wawawakilishe kwa muda maalumu hadi utapofanywa uchaguzi mwingine.

Wakati huo wa uchaguzi ndipo wananchi wanapokuwa tena na uwezo wa ama kuwachagua kwa mara nyingine au kuwatupilia mbali.  Aghalabu, wananchi hufanya chaguo lao kwa kuyazingatia matendo ya hao viongozi na huyapima iwapo yalilingana au hayakulingana na matakwa yao.

Visiwani Zanzibar kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa hakujasababisha kuvunjwa kwa vyama vya CCM wala CUF, ambavyo ndivyo vyama vikuu vya kisiasa nchini humo.  Kilichojiri ni kwamba vyama hivyo vimeunda serikali ya pamoja, inayoviwezesha vitawale kwa ubia.

Lakini vyama hivyo vinakuwa pamoja na vinashirikiana katika utawala kwa muda tu.  Utapowadia uchaguzi mkuu vyama hivyo vitachuana tena.  Kila chama kitatoa ilani yake na kueleza sera zake. Wananchi ndio wataoamua kwa kura zao chama kipi kiwe na haki ya kutawala.

Katika mfumo wa kidemokrasia pale chama cha kisiasa kinapochaguliwa kutawala huwa kinapewa mamlaka ya kulitawala taifa zima.  Chama hicho huwa kina dhamana ya kuangalia maslahi ya wananchi wote — ya wapigaji kura, ya wale waliowachagua, ya wale waliowapinga na kutowapa kura zao katika uchaguzi na hata ya wale wasiokwenda kupiga kura.  Vivyo hivyo kwa rais. Hivyo, serikali na rais wake huwa wanatarajiwa kuwa na utawala bora na kuheshimu sheria.

Kwa kawaida katika mfumo wa aina hiyo, viongozi wa serikali hujizuia kuwa na sera za kuwatisha wananchi au za kuzikandamiza haki zao za kimsingi kama zile za kuwa na uhuru wa kukusanyika au wa kutoa maoni wayatakayo — haki ambazo zimo katika katiba ya Muungano na ya Zanzibar.  Kutokana na hayo serikali haiwezi kuyatumia majeshi ya usalama kuwanyima wananchi haki zao za kimsingi.

Ni muhimu kuzigusia kanuni hizi japokuwa kwa muhtasari hasa tukiizingatia hali ya mambo ilivyo Visiwani.  Ni muhimu kwa sababu sasa Zanzibar  imejikuta katika njia panda ikigubikwa na wingu la mjadala unaoendelea kuhusu mustakbali wake na wa vizazi vijavyo vya Wazanzibari ambavyo lazima viepushwe visifikwe na nuksi na maafa yatayotokana na makosa yaliyofanywa na kizazi cha sasa.

Hakuna atayekataa kwamba Zanzibar ya leo ni Zanzibar ya amani, utulivu, umoja na suluhu.  Wazanzibari hawajapatapo kuungana namna hivi wakiwa na hamu na lengo moja la kuhakikisha kwamba serikali yao inarejeshewa mamlaka yake yote ya utawala yaliyohamishiwa katika serikali ya Muungano ili iweze kujipangia maendeleo yake.

Ni wazi kwamba zoezi la sasa la mchakato wa kutunga Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania linawapa fursa viongozi wote wa Zanzibar pamoja na Wazanzibari wote kwa jumla kushiriki katika mjadala uliokwishaanza.

Ni jambo jema na la kutia moyo kuona kwamba mjadala huo umewawezesha wengi watoe maoni yao.  Kila mmojawao ametamka lake. Miongoni mwao ni Rais wa Tanzania, Rais wa Zanzibar, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mwenyekiti wa Tume ya Katiba, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, Mawaziri wa Zanzibar pamoja na umati mkubwa wa Wazanzibari waliotoa maoni yao ama binafsi au kwa niaba ya vyama au taasisi zao.

Katika nadhari yangu nionavyo ni kwamba baadhi ya viongozi wamekwishaanza kuyafichua makucha yao na kucheza karata zao wakiwa na lengo la kuwatisha wananchi ili waweze kuwateka kifikra.  Si jambo baya wala si dhambi kutaka kumteka mtu kifikra.  Hii ni moja ya changamoto za mfumo wa kidemokrasia. Ubaya unakuja pale panapotumiwa vitisho kutimiza lengo hilo.

Kuna mambo mawili mengineyo yanayojidhihirisha pale kiongozi anapotumia vitisho.  Kwanza,  kwa kutumia vitisho anakuwa anauanika udhaifu wa msimamo wake. Pili, anaonyesha kwamba hajiamini.  Kama si dhaifu na anajiamini basi huwa hana haja ya kutumia nguvu au kitisho cha kutumia nguvu kuutetea msimamo wake au kuupinga ule wenye kupingana na wake.

La kusikitisha ni kuwa hivi vitisho vinavyotumiwa na baadhi ya viongozi huko Zanzibar ni moja ya mbinu zao za kuudhoofisha uzalendo Wakizanzibari na kupunguza kasi za mjadala unaoendelea.

Ni muhimu kwamba mjadala huo uendelee kuwa huru na wazi.  Kadhalika, ni muhimu kwamba matokeo ya mjadala huo yawe ni kutimizwa kwa matakwa ya wengi wa Wazanzibari wenye kusema kila uchao kwamba hawaridhiki na hadhi yao na ya nchi yao katika mfumo wa sasa wa Muungano na Tanganyika.  Huu ni ukweli usiofichika tena na ni ukweli ambao kwa muda mrefu umekuwa ukidhulumiwa.

Itakuwa dhambi kubwa endapo kiongozi yeyote atatumia madaraka yake kuwatisha wananchi ili wasiweze kuwa na uhuru wa kutoa maoni yao.  Kadhalika, ni dhambi kwa kiongozi yeyote kuwarushia vumbi wananchi kwa nia ya kuwaziba macho ili wasiweze kupambanua baina ya haki na kisichokuwa cha haki.

Kisichokuwa cha haki si kingine ila dhulma tupu.  Na ni dhambi kubwa kukubali dhulma na maonevu yanayofanywa na viumbe wengine.  Historia daima itakuwa ikimlaani kiongozi sampuli hiyo mwenye kuipalilia dhulma.  Historia haitosita hapo bali itawalaani wote wale wenye kunyamaza kimya, wenye kuwaachia viongozi kama hao waendelee kucheza ngoma zao.

Sitokuwa ninafichua siri nisemapo kwamba wengi wa Wazanzibari hawana imani na katiba ya sasa ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.  Hawana imani si na vifungu vyake tu bali hata na haja ya kuwako kwa katiba yenyewe.  Wala si siri tena kwamba Visiwani Zanzibar watu wataingiwa na ghadhabu na  watapiga makelele endapo mchakato huu wa katiba utahitimishwa kwa pendekezo la kuwa na aina ya mfumo wa utawala utaoushabihi mfumo uliopo sasa wa Muungano wa Katiba.

Bahati iliyoje kwamba hii leo Wazanzibari wanazitambua vilivyo haki zao na hakuna kundi lolote miongoni mwao, au hata jumuiya yoyote huko Zanzibar, yenye nia ya kuichafua hali iliyopo ya amani, utulivu na umoja.  Hali hiyo imeyafanya mashindano ya kisiasa kati ya vyama vikuu Visiwani humo yawe ni mashindano ya amani na ya kiungwana.

Hali hiyo pia imewafanya Wazanzibari wawe na fikra moja kuhusu Muungano bila ya kuijali misimamo rasmi ya vyama vyao. Ndiyo maana ikawa si siri kwamba lau itapigwa kura ya maoni ya kuwataka Wazanzibari waseme kama wanautaka au hawautaki Muungano kama hivi ulivyo wengi wao wataukataa.  Kwa hali hizo na ikiwa inazikubali kanuni za kidemokrasia basi serikali ya Zanzibar inakuwa haina budi ila iyatetee matakwa ya Wazanzibari.  Lazima iwe na ujasiri wa haki kuiita haki.  Kutenda kinyume na hivyo itakuwa ni kuwafanyia khiyana Wazanzibari na kuwadhulumu wanapotetea haki yao.

 

Read More :- "[wanabidii] Viongozi Mbona Kimya?/Tungo Zetu"

[wanabidii] MoU with Iran should be made public



Obsolutely Kombo,
 
 
You are right. Under the National Reform Accord for Public Mandate, It is
fair that Transparency and Accountability for Memorundum of Understanding
between Kenya, China and Iran oil deal should be made available to public
demand urgently. It is also important that public get the proof of that Trading
committment to ascertain fairness of trading practices as per Public Mandate
interest gains. It is sad though that leadership by the two Principals acted in
haste to engage the Iranian oil into this Trading MoU before consulting Kenya's
experts and Professionals.
 
 
This demonstrated factors of carelessness and irresponsibility in leadership
that must be taken to task without dwiddling.


Judy Miriga
Diaspora Spokesperson
Executive Director
Confederation Council Foundation for Africa Inc.,
USA
http://socioeconomicforum50.blogspot.com
 
 


--- On Fri, 7/6/12, Elijah Kombo <komboelijah@yahoo.com> wrote:
From: Elijah Kombo <komboelijah@yahoo.com>
Subject: [uchunguzionline] MoU with Iran should be made public
To: kenyaclub@yahoogroups.com, kenyainternationalgroup@yahoogroups.com, kenyaonline@yahoogroups.com, madaraka-kenya@yahoogroups.com, mwanyagetinge@yahoogroups.com, newvisionkenya@yahoogroups.com, uchunguzionline@yahoogroups.com, wananchi@yahoogroups.com, wazalendokenya@yahoogroups.com
Date: Friday, July 6, 2012, 3:14 PM


I have read on the local dairies that both Prime Minister Raila Odinga and Energy PS Nyoike saying that the MoU between Kenya and Iran was not honoured by the latter hence cancellation. I find this to be a damn stupid excuse. First, if it were not for the Israelites to reveal that Iranians were planning to attack strategic points including the Israel Embassy, Nairobi could have been mute over this security scandal. If it were not for the US reminding the Government of Mwia Kibaki and Raila that they risk sanctions, State House could have gone ahead with the purchase of oil from Iran.

Here are my worries

1. Sanctions against Iran by the US and EU Countries is in the public domain. Iran is a threat to world security through her nuke program which we all must say NO to.

2. The government of Kenya has acted in ignorance. The three Principals - Raila Odinga, Mwai Kibaki and Kalonzo Musyoka have acted against the tenets on which our constitution was founded.

3. Why did the government hide the contents of the MoU with Iran? Can the government now make the contents of the MoU public so that we will tell who is fooling who in this fiasco?

We know that some government officials have benefited from previous various oil deals. This might be one of them and therefore, we should be told the truth. Let the Prime Minister and PS Nyoike tell Kenyans what exactly is happening with this Iranian goodies.

Please publish the MoU with Iran on the local dairies so that Kenyans will know that they are safe....and not ransomed to Iranians.

Regards
Kombo Elijah

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] MoU with Iran should be made public"

[wanabidii] MUWAZA YAPONGEZA MSIMAMO WA JUMIKI KUHUSU KATIBA

Kwa Uongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu( JUMIKI)
S.L.P 1266
Mkunazini-Zanzibar
E-Mail: jumiki@hotmail.com

Assalama Aleikum,

Kuhusu:
Mkakati

Kwa niaba ya Wanachama wa Jumuiya ya Mustakbal wa Zanzibar (MUWAZA),
Muungano wa Wazanzibari ng'ambo, tunaipongeza Jumuiya ya JUMIKI
kwa uamuzi wa kijasiri na kishujaa wa Viongozi wake kushiriki pamoja na
Wazanzibari wenziwao wote katika mchakato wa kutafuta katiba mpya ya
Tanzania na kukataa katakata suala zima la kususia zoezi hilo. MUWAZA
inakubaliana kwamba ususiaji wa namna yeyote wa zoezi hilo utatoa mwanya
unaotakiwa na Watu wasioitakia mema Zanzibar, na ambao wanaweza
kuutumia mwanya huo kujifanya wao ndio wasemaji pekee halali wa
Wazanzibari. Ni kushiriki kwa wingi na kikamilifu katika kutoa maoni mbele ya
tume hiyo ya Jaji Warioba ndipo wananchi wa Zanzibar wataweza kudhihirisha
hadharani chaguo gani wanalitaka kuhusu mustakbali wa maisha yao ya
baadae ndani ya Zanzibar. Hii ni fursa nzuri na ya nadra ambapo Wazanzibari
wataweza kurejesha heshima ya nchi yao na ya Viongozi wao.

Hata hivyo, MUWAZA inawashauri Viongozi wa JUMIKI, kama inavowashauri
ndugu zetu Wazanzibari, kwamba fursa hii ya mchakato wa katiba
mpya itumike kwa amani na ustaarabu wa kizanzibari unaothaminiwa duniani
kote wa kustahamilia kila mmoja wetu maoni ya mwenzake, hata kama
hakubaliani nayo, kikubwa kabisa ni kuweka maslahi ya juu kabisa ya visiwa
vya Zanzibar na wengi wa watu wake.

MUWAZA, kama ilivyo JUMIKI, pamoja na Wazanzibari wote wanaopenda
amani na maendeleo ya visiwa vyao, kwa nguvu zote unapinga kabisa
matumizi ya nguvu na mabavu dhidi ya wananchi, bila ya kujali kama vitendo
hivyo vinafanywa na taasisi za dola, vyama vya kisiasa, jumuiya yeyote au
mtu mmoja mmoja binafsi. Tunasisitiza haja ya vyombo vya dola, Vyama
vya kisiasa, Jumuiya za kiraia na Wananchi kwa jumla kutetea na kuheshimu
amani ya nchi, uhuru wa watu wote kuweza kutoa maoni yao na kukusanyika
kwa njia huru, bila ya vizuwizi na vikwazo, mradi wanaambatana na sheria na
kulinda amani.

MUWAZA inaamini zoezi la kuwaelimisha Wananchi juu ya haki zao za
kikatiba na kuwazindua juu ya sheria ambazo hazitekelezwi vilivyo kama
ilivokusudiwa, hivyo kupelekea wananchi kukandamizwa na kupoteza haki
zao za kimsingi, ni harakati endelevu isiokuwa na kiwango cha wakati
na kipindi. Hivyo, tunakubali kwamba ni juu ya dola kuweka mazingira
mazuri kwa jambo hilo kufanyika. Ni imani ya MUWAZA kwamba wananchi
wanapozidi kuwa na mwamko zaidi wa kutambua haki zao na kuelewa
namna ya kuzipigania kwa njia ya amani, pamoja na kuelewa namna nchi yao
inavotawaliwa na inavofaa kutawaliwa siku za mbele ni faida kwa nchi yetu na
maendeleo yake.

MUWAZA inakubaliana nanyi kwamba kuna mambo kadha ya dhuluma ndani
ya Muungano, kama ulivo sasa, kwamba Muungano huo umekuwa zaidi
wa kiserikali. Hivyo iko haja ya kuuimarisha zaidi Muungano wa Kijamii na
kuondosha dhuluma zilizokuweko mnamo miaka 48 iliopita.

Kama ilivyo JUMIKI, MUWAZA imelikaribisha kwa tamko la Mheshimiwa
Jaji Warioba alilolitoa mbele ya Waandishi wa habari alipoizindua Tume ya
kukusanya maoni juu ya katiba mpya mjini Dar es Salaam tarehe 18/06/
2012 kwamba maoni yote yataheshimiwa na kuzingatiwa, likiwemo suala la
Muungano ambalo kwa Wazanzibari ndilo suala muhimu.

Pia MUWAZA inatarajia, kutokana na watu waliomo ndani ya Tume ya
Jaji Warioba, kwamba uadilifu, haki na uwazi utaoneshwa katika zoezi
la kukusanya maoni ya Wananchi, maoni ya wananchi walio wengi
yataheshimiwa na tume na baadae na Serikali ya Muungano wa Tanzania
na ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.Tunaitarajia Tume ya Warioba na
Serikali zote mbili zitahakikisha watu wanatoa maoni yao bila ya kutishwa
waseme nini mbele ya Tume, kwamba hawataadhibiwa kwa namna yeyote
juu ya usalama na ajira zao baada ya kutoa maoni yao mbele ya tume.
Tunawahimiza Wazanzibari waseme wazi, tena kwa midomo mipana, pindi
wanatiwa hofu ya aina yeyote wakati wa zoezi hilo.

Kama ilivyo JUMIKA, MUWAZA inatoa mwito kwa Wazanzibari wote waungane
kwa kauli moja ya kurejesha heshima ya rais wa Zanzibar na nchi yao, na
kwamba chimbuko la mamlaka maisha libakie ndani ya mikono ya wananchi.

MUWAZA inapinga vikali vitendo vyovyote vya kuwabeza Wazanzibari
wanaopinga mfumo ulioibakisha nchi yao nyuma kwa miaka na kuwabakisha
wananchi wake wengi katika ufukara na maendeleo duni katika nyanja za
elimu, afya na huduma nyingine za kijamii.

Tunawatakia Wazanzibari kila la kheri, amani na maendeleo, na hayo
yatafikiwa tu ikiwa wenyewe Wazanzibari, katika mazingira yalio huru na ya
amani, watafanya maamuzi sahihi kwa pamoja katika kipindi hiki muhimu cha
historia ya nchi yao.

Iiishi Zanzibar.

Mwenyekiti
Jumuiya ya MUWAZA

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] MUWAZA YAPONGEZA MSIMAMO WA JUMIKI KUHUSU KATIBA"

[wanabidii] Share your experience on HIV Tests

Most people believe that HIV tests should be taken just once. I've questioned lots of my friends, a large percentage of them have only had the test ONCE. I believe tests should be conducted at least twice a year! (I stand to be corrected, though).
Wanabidii, how many times have you had an HIV test, and how confident were you before the results came out. Also, when last did u do that? Please, share your experience.

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] Share your experience on HIV Tests"

[wanabidii] Nyongeza ya Ada ya Kuingiza Gari JNIA, Dar es Salaam

Kuanzia tarehe 01/07/2012 Mamlaka ya Viwanja vya Ndege imepandisha Ada ya kuingiza magari kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere kutoka sh. 500 hadi 1,000. Binafsi ninajiuliza ni vigezo gani vimetumika kupandisha tozo hii na ni kwa faida gani? Kuna mtu anaweza kutoa msaada kujua kulikoni?

--
Bariki G. Mwasaga,
P.O. Box 3021,
Dar es Salaam, Tanzania
+255 754 812 387

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] Nyongeza ya Ada ya Kuingiza Gari JNIA, Dar es Salaam"

[wanabidii] MAONI YA MHE BERNARD MEMBE KUHUSU SAKATA LA MELI ZA IRAN

Serikali imepokea taarifa kuhusu tuhuma za meli za Iran kupeperusha
bendera za Tanzania ili kukwepa vikwazo. Serikali ya Jamhuri ya
Muungano na SMZ hazitaki kupuuza taarifa hizi. Serikali zote mbili
zimeamua kufanya uchunguzi ili kuthibitisha. Tanzania imewaarifu nchi
zilizolalamika marafiki kuwaomba kusaidiana nasi kufanya uchunguzi na
kushirikiana kuthibitisha taarifa hii. Tumefanya hivyo kwa kuzingatia
uwezo wetu wa kiutafiti na kutaka utafiti huu kuwa huru kwa
kuwashirikisha wao wenye ujuzi mkubwa. Tunafanya hivyo kwa kuwa wakala
wa ZMA anayefanya kazi za kusajili amekana kusajili meli za Iran,
Balozi wa Iran nchini aliitwa akakanusha. Tutakapopata matokeo ya
utafiti na ikithibitika kuwepo na ukweli hatua zitachukuliwa mara
moja. Tukithibitisha tuhuma hizi tutafutilia mbali usajili wa meli
hizo. Tunafanya hivyo kutimiza wajibu wetu kimataifa hususan Azimio
1920 la UN Security Council.Tanzani sio adui wa nchi yoyote duniani.
Tunafurahia mahusiano yetu na nchi zote duniani. Hili ni jambo
linalogusa maslahi ya Tanzania nje na maslahi ya Tanzania ya ndani
(Muungano), tujihadhari na namna tunavyolizungumzia. Tusimame pamoja
kama taifa. Nchi kwanza!

Chanzo : http://www.facebook.com/pages/Bernard-Kamilius-Membe/204958252852114

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] MAONI YA MHE BERNARD MEMBE KUHUSU SAKATA LA MELI ZA IRAN"

Thursday 5 July 2012

[wanabidii] sales and operations people wanted

Good Day people,

We need sales and operations people.

Mostly we need people who are based at the coast, especially ladies are encouraged to apply.

please fwd your cv to daniel@zotetelkom.co.ke

regards
billy otieno oluoch
+254 726 321655

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] sales and operations people wanted"

[wanabidii] UJUMBE WA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI KWA WATANZANIA WOTE WENYE MAPENZI MEMA

UJUMBE WA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA KWA WAAMINI WAKATOLIKI
NA WATU WOTE WENYE MAPENZI MEMA
30-06-2012

SISI Maaskofu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania tumekutana
katika mkutano wetu Mkuu wa 65 wa kawaida tangu tarehe 23/06/2012 hadi
30/06/2012 Uliowajumuisha Wakuu wa Mashirika ya Kitawa na wakuu wa
Idara ,Tume na Taasisi za Baraza Pamoja na Wawakilishi Walei.

Lengo la Mkutano huu likiwa kutathimini shughuli za kazi zetu za
Kichungaji na za huduma za Jamii kwa Kipindi cha miaka Mitatu
iliyopita 2009-2012 na vilevile kupanga mikakati ya kuboresha shughuli
hizo za Kichungaji na za Huduma za Jamii katika Nyanja za Afya, Elimu,
Misaada kwa wasiojiweza utetezi na ushawishi kwa kipindi cha miaka
Mitatu ijayo 2012-2015.

Pamoja na kufanya tathimini ya kina ya utendaji wa Baraza letu katika
kipindi hicho kilichopita. Na kupanga mipango kabambe kwa ajili ya
utendaji wa Baraza kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo Mkutano wetu
Mkuu umekuwa na Fursa ya kujadiliana na kushirikishana baadhi ya
matukio/mambo ambayo kwa hakika yametikisa jamii yetu ya Watanzania
na kuidhalilisha nchi mbele ya Jumuiya ya Kimataifa.

Kwa namna ya pekee kabisa tumetafakari juu ya vurugu za kidini hivi
karibuni zilizotokea Visiwa vya Zanzibar kuanzia tarehe 26-28 Mei 2012
na kupelekea kuchomwa moto kwa baadhi ya Makanisa Visiwani humo
pamoja na uharibifu wa mali na uvunjifu wa amani.

Bila kupenda kurudia matamko ya wadau mbalimbali wakiyatoa katika
nyakati tofauti kulaani bila kusita hali hiyo iliyojitokeza Visiwani
Humo ,Tunaunga mkono kwa nguvu zote kauli na jitihada za wale wote
wenye mapenzi mema walioguswa na vitendo hivyo na hivyo
kulaani.Tunatoa pole na kueleza mshikamano wetu wa kindugu kwa wale
wote walioathirika kwa namna moja au nyingine kwa vitendo hivyo vya
vurugu ambavyo vimefanya sehemu ya jamii ya wakazi wa visiwani humo
hasa Wakristo kuhishi kwa wasiwasi mkubwa kutokana na vitisho
vinavyoendelea kutolewa na baadhi ya vikundi pamoja na hali ya
kutopewa ulinzi wa kutosha na vyombo husika.Tunaendelea kuwaahidi sala
na mshikamano wetu katika kipindi hiki kigumu.

Pamoja na hayo tunapenda kuwakumbusha Watanzania wenzetu hasa wa
Mamlaka husika kutafakari na kuzingatia busara za Wahenga waliosema
kwamba mwanzo wa makubwa ni madogo na kwamba mdharau mwiba mguu huota
tende kumbukumbu zinatuambia kwamba chuki za wazi za kidini zilianza
kuinyemelea nchi tangu miaka ya 1990 pale mihadhara ya kashfa ya
kidini ilipoanza kuruhusiwa. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kwa
kuongozwa na busara ya kichungaji kwa nyakati tofauti liliandika barua
kuziomba na kuzihimiza Mamlaka husika kuingilia kati na kuhakikisha
kwamba mihadhara kama hiyo haipati nafasi kuendelea katika nchi yetu
kwani kamwe haiwezi kuwa na tija ispokuwa kuamsha hisia kali za
kidini, jazba na kujenga chuki miongoni mwa waamini wa dini tofauti,
kwa bahati mbaya ushauri huo wa Braza la Maaskofu ulipuuzwa na
Mamlaka husika .

Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la vyombo vya Habari ambavyo
vimeanzishwa na ambavyo badala ya kuzingia malengo mazuri ya vyombo
vya Habari kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha vimeonyesha malengo
ya wazi ya kueneza uzushi, kashfa, chuki na uchochezi. Bado kuna CD,
DVD na kanda chungu nzima zinazagaa mitaani zenye mambo kama hayo
ambapo kwa mshangao mkubwa wa raia wema licha ya wahusika kufahamika
na kuonekana waziwazi hakuna hatua za kisheria zilizochukuliwa dhidi
yao.

Tunachelea hata kudhani kwamba Mamlaka za Dola zinawakingia kifua
wadau wa harakati hizo. Mkusanyiko wa mambo yote haya ndiyo
uliotufikisha hapa tulipo. Kwa upendo tulionao kwa nchi yetu na kwa
kuzingatia historia ya mlolongo wa matukio yaliyotufikisha hapa
tulipo, tuna hofu,l akini kwa uwazi tunapenda kuwaambia mamlaka husika
watu wote wenye mapenzi mema na Watanzania wote kwa ujumla kwamba,
iwapo hatua mathubuti hazitachukuliwa mara moja ili kurekebisha hali
hii baada ya miaka michache, hakika kwamba nchi yetu inaweza kuingia
katika machafuko ya kidini.

Ili kuepuka hali hii isitokee kwa moyo wa unyenyekevu kabisa,
tunapendekeza hatua zifuatazo zichukuliwe: Sisi Baraza la Maaskofu
Katoliki Tanzania tutaendelea kusali kuiombea nchi yetu Amani licha
ya Sala na maombi ya kawaida kwa ajili ya lengo hilo, Mkutano Mkuu
umeamua kwamba tutakuwa na siku moja ya kusali kitaifa ya kuomba
Amani, Tutaendelea kutumia sauti yetu ya kinabii kuonya kukemea
kukaripia vitendo vyote vile vinavyoashiria kueneza chuki miongoni mwa
watu wa dini mbalimbali kwa kutumia tume na Idara zetu.

Tutaendelea kujenga na kueneza mazungumzo na waamini wa dini
mbalimbali tukiheshimu tofauti zilizopo hii ni kwa sababu tunaaamini
kwamba suala la dini ni wito na hiari ya mtu na hakuna mtu yeyote
aliye na haki ya kumlazimisha mwingine ajiunge na dini nyingine. Kwa
upande wa wadau wengine na hasa kwa Serikali yetu pamoja na vyombo
vyake vya usalama tunapendekeza yafuatayo:

Mihadhara, Makongamano na Mikutano yenye lengo la kutoa kashfa na
kuchochea chuki miongoni mwa dini mbalimbali ipigwe marufuku, vyombo
vya habari vinavyoeneza uzushi, kashfa na uchochezi vizibitiwe kwa
kuchukua hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kufungiwa, uzushi na
uongo unaoenezwa na vyombo vya habari na watu wenye lengo la
kuwachonganisha Watanzania na waamini wa dini mbalimbali utolewe
ufafanuzi mara moja na Wizara na vyombo vingine vinavyohusika, kuweko
mpango kabambe wa kutoa Elimu ya Uraia yenye kina na upana katika
nafasi zote itakayowawezesha vijana wetu kuwa wazalendo wa nchi yao na
kuepuka propaganda za kuwagawa Watanzania kwa misingi ya Dini.

Suala la ukosefu wa ajira hasa miongoni mwa vijana liangaliwe kwa
umakini kwani linaweza kuwa moja ya sababu zinazowafanya vijana wengi
kujiingiza katika vikundi vya kidini vinavyojenga chuki na kutoa
matumaini ya uongo lakini zaidi ya yote iwapo Serikali yetu na
Mamllaka husika inataka kuwa na imani mbele ya jamii kwamba ina nia
thabiti ya kuhakikisha kwamba vurugu za kidini hazipati nafasi katika
nchi yetu wale wote waliohusika na vurugu hizo wachukuliwe hatua za
kisheria mara moja! Ni vigumu kuamini kwamba katika kipindi cha kuanzi
mwaka 2001 mpaka sasa Makanisa Ishirini na Tano yamekwisha kuchomwa
moto kisiwani Zanzibar lakini hakuna aliyekamtwa na kuchukuliwa hatua
za kisheria!

Tumefanya mkutano wetu katika mazingira ya kuwepo mvutano kati ya
Madakitari na Serikali na kwa bahati mbaya sana, kama tulivyokwisha
kutamka huko nyuma mvutano huo utaleta athari kubwa kwa Raia wasio na
hatia, athari ambazo haziwezi kurudishwa. Uhai wa raia wa Tanzania
unaaangamia kwa kukosa ulinzi wa tiba katika hali hii tunapenda
kukumbusha kuwa kila mmoja ni mdau. Hakuna hata mmoja anayeweza
kulikwepa hili tunapenda kurudia himizo letu la awali kwamba ipatikane
njia nyingine iliyomwafaka zaidi ya kudai haki na mazingira yanayofaa
ya kazi bila ya kuleta madhara ya kupoteza uhai ambayo ni haki ya
msingi ya kila mwanadamu.

Tunaisii Serikali yetu ikae tena na Madaktari na kuchambua hoja
zitakazowekwa mbele yao. Uwazi na ukweli vikitawala hakuna pande
itakayokataa kuridhia eti kwa sababu ya kukataa tu bila hoja. Taifa
letu limejipatia aibu mbele ya macho ya Ulimwengu ya jinsi
tunavyoshindwa kuhishi kile tunachosema katika majukwaa.

Mwisho tunaendelea kuwaalika Watanzania wenzetu hasa viongozi wa Dini
mbalimbali kuwahamasisha waamini wawe raia wema wa nchi hii kwa
kuungana pamoja kuhamasisha upendo, haki, amani na maridhiano miongoni
mwa Watanzania wote.

Licha ya tofauti zetu tuzingatie hasa yale yanayotuunganisha,
ubinadamu wetu na uraia wetu wa nchi yetu tukufu ya Tanzania ambamo
tutake tusitake ni lazima wote tuhishi tuepuke ushindani ambao hauna
tija isipokuwa kutupeleka katika chuki na hali ya kuzaniana vibaya
miongoni mwa waamini wetu. Iwapo kuna sababu ya kushindana, tushindane
katika mbinu za kujenga upendo na amani miongoni mwa Watanzania katika
kutafuata njia za kuwaletea maendeleo yatakayowatoa katika umaskini,
ujinga na maradhi ambavyo ni adui wetu sote. Tunaiombea nchi yetu
amani na usalama.

MWISHO

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "[wanabidii] UJUMBE WA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI KWA WATANZANIA WOTE WENYE MAPENZI MEMA"