chama cha mapinduzi (ccm) wilaya ya nyamgana mkoani mwanza kesho kufanya maadamano ya amani kuishinikiza madaktari kurejea kazini na kutoa huduma kwa wagonjwa katibu wa wilaya hiyo deogratius rutta amesema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake amesema maandano hayo yataanza saa tisa alasiri kwakuanzaia ofisi za wilaya ya nyamagano hadi katika ofisi za wilaya ya nyamagana ambapo maandamano hayo yatapokelewa na mwenyekiti wa ccm mkoa wa mwanza clement mabina |
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment