Ndugu Yona, Unadhani kuwashitaki ndo suluhisho la mgomo huo?! Ni wajibu wa nani kuhakikisha madaktari hao hawaandikii wagonjwa dawa ili wakazinunue kwenye maduka yao yalionje ya ofisi. Au unataka kuonesha udhaifu wa taasisi za umma zinazopaswa kuzuia hayo yasitokee. Mbona huongelei madai yao ya X-ray machines na Citi Scan ambayo ni sawa na TOYOTA Land Cruiser VX moja tu kati ya mamia wanazotembele viongozi wetu. Madaktari wamegoma, Waalimu wanataka kugoma, wakulima nao wanatafakari! Kila mwananchi anatafakari nini cha kufanya kwa nafasi yake na kibano cha maisha anachopata. Mahakama itabidi ziwe na kazi ya ziada kupokea mashitaka ya wote hawa. Yatupasa tutafakari kwa upana na kwa uhalisia. Martin --- On Wed, 4/7/12, Yona F Maro <oldmoshi@gmail.com> wrote:
|
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment