Monday, 4 June 2012

[wanabidii] GDSS YA TAREHE 06/06/2012; MADA: MAMBO KINZANI KATI YA KATIBA YA ZANZIBARI YA 2010 NA KATIBA YA TANZANIA YA 1977: JE, NINI MATARAJIO YA WANANCHI KUHUSU HATIMA YA MUUNGANO?

 

SEMINA ZA JINSIA NA MAENDELEO

 UNAKARIBISHWA KATIKA MFULULIZO WA SEMINA ZA JINSIA NA MAENDELEO (GDSS) KILA JUMATANO, AMBAPO WIKI HII FORDIA  WATAWASILISHA

MADA: Mambo Kinzani Kati ya Katiba ya Zanzibari ya 2010 na Katiba ya Tanzania ya 1977: Je, nini matarajio ya wananchi kuhusu hatima ya Muungano?   

Lini: Jumatano Tarehe 06 Juni, 2012

Muda: Saa 09:00 Alasiri – 11:00 Jioni

MAHALI:  Viwanja vya TGNP, Barabara ya Mabibo Karibu na Chuo cha Taifa Cha Usafirishaji Mabibo Sokoni  

WOTE MNAKARIBISHWA

0 comments:

Post a Comment