Habari ya mchana,
Aliefanikiwa kuuona waraka wa Lema kwa Mhe. Kikwete atuwekee hapa jukwaani tusome tupate kujua alichokisema kwa ujumla wake pia tudadii kuona relevance ya kile alichokiandika.
nimesoma kwa ufupi quote moja wapo katika moja gazeti la leo.
Wasalaamu
Fred
0 comments:
Post a Comment